Sijaitumia mda mrefu, ila nnachojua ni open sources OS, huna haja ya ku crack programs, nyingi zipo free!!! ngoja wataalam watakuja hapaWakuu, baada ya kuhama kutoka OS za Windows nimeamua kujikita kwenye OS za Linux.
Baada ya kupitia machapisho mbali mbali na kufuatilia tutorials mbali mbali za video niliona nijikite kwenye Ubuntu, lakini nikagundua Ubuntu inahitaji muda hili ujue kuitumia vizuri.
Nikaisacha nika-install Mint, hii siyo ngumu maana kiasi fulani Interface ni kama ya windows japo bado kuna changamoto ya kuwa na uchache wa program.
Mkuu, kama wewe ni mdau wa OS za Linux ni changamoto gani unazokutananazo na ni OS gani unayoitumia, tofauti na hizi mbili.
Karibu tupeane uzoefu.
Mi nilikuwa natumia ubuntu kuna downloader moja inaitwa xdman hii ina feature nyingi kama za IDM, changamoto kwenye youtube iko manure sana, yaani unakopi link halafu unapest, ila kama wewe ni developer unaweza unaweza ukaimodify kwa sababu ni open source.Mimi natumia dual booting, Windows na Kali Linux, changamoto ninayoipata kwenye Kali Linux ni sijapata download manager ya uhakika kama ninavyoenjoy kwenye windows, na huwa natumia windows tu ninapokuwa nadownload files lakini karibia kazi zangu zote za development huwa nazimalizia kwenye Kali Linux
tumia combination ya downthemall na flash video downloader. zote ni plugins za firefoxMimi natumia dual booting, Windows na Kali Linux, changamoto ninayoipata kwenye Kali Linux ni sijapata download manager ya uhakika kama ninavyoenjoy kwenye windows, na huwa natumia windows tu ninapokuwa nadownload files lakini karibia kazi zangu zote za development huwa nazimalizia kwenye Kali Linux
Chief natumia Ubuntu 15 LTS 64 bits hizo plugins bomba sana. Download them all Safi. Pia kwa kutumia terminal nimeinstall K-Get Downloader. Uzuri wa Linux kuna Apps kibao mfano Transmission, QBittorrent, Deluge hizi kwa ajili ya torrents. Kisha Linux zina Graphics bomba, hazisumbui kwenye modems tofauti tofauti na speed ya Internet ni kali sio sawa na Windows OS.tumia combination ya downthemall na flash video downloader. zote ni plugins za firefox
almost 98% ya matumizi yangu ya pc ni windows, graphics unamaanisha user interface? yeah zipo distro nyingi za linux zenye muonekano mzuri ila graphics kwa maana ya gpu still windows na direct x ndio mpango mzima.Chief natumia Ubuntu 15 LTS 64 bits hizo plugins bomba sana. Download them all Safi. Pia kwa kutumia terminal nimeinstall K-Get Downloader. Uzuri wa Linux kuna Apps kibao mfano Transmission, QBittorrent, Deluge hizi kwa ajili ya torrents. Kisha Linux zina Graphics bomba, hazisumbui kwenye modems tofauti tofauti na speed ya Internet ni kali sio sawa na Windows OS.
Hii nimeijaribu lakini haijawahi kuniletea matokeo mazuri kwa kweliMi nilikuwa natumia ubuntu kuna downloader moja inaitwa xdman hii ina feature nyingi kama za IDM, changamoto kwenye youtube iko manure sana, yaani unakopi link halafu unapest, ila kama wewe ni developer unaweza unaweza ukaimodify kwa sababu ni open source.
Ngoja nitaijaribu mkuutumia combination ya downthemall na flash video downloader. zote ni plugins za firefox
Safi hebu nieleweshe unaitumiaje Firefox kama OS?almost 98% ya matumizi yangu ya pc ni windows, graphics unamaanisha user interface? yeah zipo distro nyingi za linux zenye muonekano mzuri ila graphics kwa maana ya gpu still windows na direct x ndio mpango mzima.
mimi napenda kuifungia firefox ifanye kazi yenyewe kama Operating system ijitegemee. naiekea download manager, video downloader, user agent, na mambo mengine.
Safi hebu nieleweshe unaitumiaje Firefox kama OS?
Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
Hii inafanyaje kazi Chief?
Safi hebu nieleweshe unaitumiaje Firefox kama OS?
Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa, unadhani kwanini OS za Linux hazina watumiaji wengi ukilinganisha na Windows? Je, ni nyuma kuzitumia, bado hazijajitoshereza ukilinganisha na Windows, au security yake ni ndogo?almost 98% ya matumizi yangu ya pc ni windows