Sijui unaulizia mmea upi kati ya iyo miwili,Nauliza jamaniView attachment 897916
Mdawa wa kulevya aina ya Bangi! Ng'oa haraka kisha uuchome kama hutaki matatizo!Nauliza jamaniView attachment 897916
Hilo ni jani la kijan toka enzi za babu alitumia bob nawe wataka kujaribu?Nauliza jamaniView attachment 897916
Shika majani yake, Kama yananukia itakuwa rose marino hiyo!!Unataka kufanana na ubani hivi? Nimeona mtu ameiweka kwenye viroba na inaonekana anaimwagilia kila siku.
Hutumika Kama kiungo mkuu sababu ya harufu yake! Una kazi nyingi mojawapo ni kuimarisha kumbukumbu; VP naweza kupata japo mche Nami nioteshe??Yananukia mkuu na nimegoogle hilo jina nimeletea picha zinafanana na huo mmea.
Yawezekana ndio wenyewe ni dawa ya nini mkuu?
Ok haina Noma...Mkuu Mimi mwenyewe nimeukuta kwenye nyumba ya watu ndio maana nikaupiga picha.
UTAKUA WA DAR WEWEHuo sio Mpapai kweli?
Dar inaongozwa na wakuja usishangae.UTAKUA WA DAR WEWE