Investaa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 913
- 923
Habari wataalamu.
Kama title inavyojieleza above, nina swali kuhusu campaign ya mambo ya afya kama yanaruhusiwa kisheria kufanywa kwenye app au social media. Mfano clinic ya meno, inatoa discount ya 50% ya wagonjwa 10 wa kwanza wanaosumbuliwa na meno, watakao wahi kulipia watapata discount ya 50%.
Mathalani bei za huduma ni kama zifuatazo:
1. Kungóa meno ni 100k(50% discount)
2. Kusafisha meno 60(50% discount)
3. Kupachika meno bandia 100k(50% discount)
Hii imekaaje kwenye sekta ya afya na sheria. Je ni kosa kufanya matangazo kama haya public?
Ni hayo tu am out.
Kama title inavyojieleza above, nina swali kuhusu campaign ya mambo ya afya kama yanaruhusiwa kisheria kufanywa kwenye app au social media. Mfano clinic ya meno, inatoa discount ya 50% ya wagonjwa 10 wa kwanza wanaosumbuliwa na meno, watakao wahi kulipia watapata discount ya 50%.
Mathalani bei za huduma ni kama zifuatazo:
1. Kungóa meno ni 100k(50% discount)
2. Kusafisha meno 60(50% discount)
3. Kupachika meno bandia 100k(50% discount)
Hii imekaaje kwenye sekta ya afya na sheria. Je ni kosa kufanya matangazo kama haya public?
Ni hayo tu am out.