Wataalamu njooni hapa

Wataalamu njooni hapa

Mkuu inaonekana hauishi na watu vizuri, hilo linakupelekea kuwa na hofu kila wakati ukihofia kuwa unawindwa

Hata watu wanaoishi na watu vizuri hulogwa
 
Ifike wakati ile maana ya 'home of great thinker'iondolewe ibaki tu kijiwe cha majobless yani mada zinazohusu kushambuliana kidini zimekua too much inaonesha hasa jinsi gani sisi makafiri tunawachukia wenzetu,hua namshangaa sana mtu anaemchukia mtu wa Imani tofauti na yake ilihali dini ni urithi tu kutoka kwa wazazi wako! the same aliezaliwa masai karithi umasai aliezaliwa na Christian karithi ukristo so chuki za nini hasa naona miezi ya jamaa wanapokua kwenye ibada zao za kubadilisha muda wa kula mada za kuwadiscuss zinazidi? Alafu nimegundua kitu nowdays hawana time na itikadi za zamani kubishana na system wamebailika kinoma wanapiga mambo yao kimya hawana sijui mihadhara vituo vya daladala sijui kwenye mabasi so chuki za nini juu yao?
Mbona huu uzi hauna udini?? Punguza unnecessary complications… huyu ana wasi wasi na alichopewa, humu Tz kuna kitu kinaitwa zongo.
Usiombe ukutane nayo.
 
wewe umejuaje kama huo uji umepewa kwa nia mbaya ?

mbona umewawazia majirani zako mabaya hivyo ? au kuna siku wameshawahi kukufanyia ubaya!

daah, wewe jamaa una roho mbaya aisee

Mkuu watu sio wazuri anaweza kukuchekea kumbe anakuroga rohoni
 
Mbona huu uzi hauna udini?? Punguza unnecessary complications… huyu ana wasi wasi na alichopewa, humu Tz kuna kitu kinaitwa zongo.
Usiombe ukutane nayo.

Sisi ni majobless yeye ni jobness
 
Wewe unacheza na afya yako mimi hata Kula kwenye mgahawa mmoja siwezi kabisa, Swala la afya nakuwa na nadharia eti utaonekanaje mimi sitaki huo Ujinga haya mfano umekunywa na wameweka kitu kibaya umo huoni una gamble na life lako mzee? Mimi siamini katika uchawi ila napenda kula sehemu nafsi imeridhia
 
Ifike wakati ile maana ya 'home of great thinker'iondolewe ibaki tu kijiwe cha majobless yani mada zinazohusu kushambuliana kidini zimekua too much inaonesha hasa jinsi gani sisi makafiri tunawachukia wenzetu,hua namshangaa sana mtu anaemchukia mtu wa Imani tofauti na yake ilihali dini ni urithi tu kutoka kwa wazazi wako! the same aliezaliwa masai karithi umasai aliezaliwa na Christian karithi ukristo so chuki za nini hasa naona miezi ya jamaa wanapokua kwenye ibada zao za kubadilisha muda wa kula mada za kuwadiscuss zinazidi? Alafu nimegundua kitu nowdays hawana time na itikadi za zamani kubishana na system wamebailika kinoma wanapiga mambo yao kimya hawana sijui mihadhara vituo vya daladala sijui kwenye mabasi so chuki za nini juu yao?
Kwann umeelekea upande huo wa dini, kuliko kubaki na hisia za kawaida kama uchafu, kujipendekeza kulikopitiliza, ukorofi wa mwenyenyumba( akiwa mkalimu hivyo kuna kitu analenga), tabia za kishirikina.
 
Mkuu lengo la huu uzi sio kushambulia imani au kuleta chuki hapana…Context yangu ni kwa mtu yoyote hata kama sio mambo ya kufturu
halafu kumbe unaanzaga kula bila kusali mkuu.Ungesali kwa imani yako kabla ya kuanza kunywa uji,hata kama kuna kitu kibaya hakiwezi kukudhuru.
 
Kwann umeelekea upande huo wa dini, kuliko kubaki na hisia za kawaida kama uchafu, kujipendekeza kulikopitiliza, ukorofi wa mwenyenyumba( akiwa mkalimu hivyo kuna kitu analenga), tabia za kishirikina.

Kisa yeye sio jobless
 
Tatizo sio kupewa uji,tatizo ikiwa mtu anania mbaya na wewe anawezakutumua hiyo fursa kukudhulu
Kwanini unawaza kua waliokupa uji wana nia mbaya na wewe? Kwanini usiwaze kua umekaribishwa tu hasa huu mfungo wa ramadhani?

Au ni kwavile huo uji umetoka kwenye "Kanyumba ka uswahili?" Ungeletewa huo uji na "Nyumba ya uzungu" usingekua na hayo mashaka?
 
Wanajamii nahitaji msaada wenu kidogo…Mimi hapa ninapokaa kwa mbele kuna kanyumba ka uswahili sasa muda wa kufturu umefika nikaletewa uji,kuletewa nikaona aibu ikabidi nyinwe tu maana ningeonekana vipi kwa watu au labda na ringa…ule uji nimekunywa kama robo hivi kikombe,mwingine nimeingia home nikamwaga,na nikaenda chooni kutapika nikahakikisha uji wote umeisha…Swali langu,je kama mtu alikuwa na nia mbaya na mimi kupitia hicho kiwango kidogo cha uji anaweza nidhulu au nilivyojitapisha bado naweza dhulika? Wakuu nipeni muongozo,nakumbuka kwetu niliambiwa usipewe vitu vya kula kula hasa kwa watu usiowaamini
Yaani uchawi akuletee waziwazi hivyo ndio kwanza nakusikia wewe. Hiyo ni kawaida ya Waislam mwezi huu wa Ramadhani kuwa wakarimu ndio moja ya lengo la mwezi mtukufu. Na ndio maana hata kufuturu huwa wanafuturu nje ili mtu yeyote anaepita aweze kukaribishwa kufuturu
 
Nimeishi uswazi nimekunywa sana uji wenye ladha kama pilipili ambao tulikuwa tunaletewa na majirani zetu waislamu kipindi cha mfungo.......nafikiri ni sehemu ya ku share ukarimu unaotokana na hiyo ibada yao ya mfungo.
 
Nimeishi uswazi nimekunywa sana uji wenye ladha kama pilipili ambao tulikuwa tunaletewa na majirani zetu waislamu kipindi cha mfungo.......nafikiri ni sehemu ya ku share ukarimu unaotokana na hiyo ibada yao ya mfungo.

Kuletewa uji sio jambo baya…Just imagine kama akiwa na nia mbaya na wewe huoni ni fursa ya kukumaliza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom