Wataalamu njooni hapa

Wataalamu njooni hapa

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,569
Reaction score
2,584
Wanajamii nahitaji msaada wenu kidogo

Mimi hapa ninapokaa kwa mbele kuna kanyumba ka uswahili sasa muda wa kufturu umefika nikaletewa uji, kuletewa nikaona aibu ikabidi ninywe tu maana ningeonekana vipi kwa watu au labda naringa, ule uji nimekunywa kama robo hivi kikombe,mwingine nimeingia home nikamwaga, na nikaenda chooni kutapika nikahakikisha uji wote umeisha

Je, kama mtu alikuwa na nia mbaya na mimi kupitia hicho kiwango kidogo cha uji anaweza nidhuru au nilivyojitapisha bado naweza dhulika?

Wakuu nipeni muongozo,nakumbuka kwetu niliambiwa usipewe vitu vya kula kula hasa kwa watu usiowaamini
 
"Sumu haionjwi wewe ' watu wengi ndio zenu ndiyo zinazowaponza"
 
Wanajamii nahitaji msaada wenu kidogo…Mimi hapa ninapokaa kwa mbele kuna kanyumba ka uswahili sasa muda wa kufturu umefika nikaletewa uji,kuletewa nikaona aibu ikabidi nyinwe tu maana ningeonekana vipi kwa watu au labda na ringa…ule uji nimekunywa kama robo hivi kikombe,mwingine nimeingia home nikamwaga,na nikaenda chooni kutapika nikahakikisha uji wote umeisha…Swali langu,je kama mtu alikuwa na nia mbaya na mimi kupitia hicho kiwango kidogo cha uji anaweza nidhulu au nilivyojitapisha bado naweza dhulika? Wakuu nipeni muongozo,nakumbuka kwetu niliambiwa usipewe vitu vya kula kula hasa kwa watu usiowaamini
Wamekuletea kwa nia njema tu mfungo huu hawanaga choyo wenzetu hata kama wanacho kidogo mtakula tu.
 
Wamekuletea kwa nia njema tu mfungo huu hawanaga choyo wenzetu hata kama wanacho kidogo mtakula tu.

Kibaya ni kwamba nimeletewa peke yangu sasa sijui
 
Umepewa,uji wa kufuturu ukaumwaga ukifa utaonyeshwa peponi paleeeee wakati huo ww unakwenda kwa farao
 
Wataalam wanataka kuachana na magari ya mafuta badala yake watumie umeme ili kuepukana na uchafuzi wa mazingira...wewe endelea kutapika uji.

This is africa ndugu….hayo ni ya ulaya
 
Umepewa,uji wa kufuturu ukaumwaga ukifa utaonyeshwa peponi paleeeee wakati huo ww unakwenda kwa farao

Tatizo sio kupewa uji,tatizo ikiwa mtu anania mbaya na wewe anawezakutumua hiyo fursa kukudhulu
 
Wanajamii nahitaji msaada wenu kidogo…Mimi hapa ninapokaa kwa mbele kuna kanyumba ka uswahili sasa muda wa kufturu umefika nikaletewa uji,kuletewa nikaona aibu ikabidi nyinwe tu maana ningeonekana vipi kwa watu au labda na ringa…ule uji nimekunywa kama robo hivi kikombe,mwingine nimeingia home nikamwaga,na nikaenda chooni kutapika nikahakikisha uji wote umeisha…Swali langu,je kama mtu alikuwa na nia mbaya na mimi kupitia hicho kiwango kidogo cha uji anaweza nidhulu au nilivyojitapisha bado naweza dhulika? Wakuu nipeni muongozo,nakumbuka kwetu niliambiwa usipewe vitu vya kula kula hasa kwa watu usiowaamini
Weka picha ya uji uliotapika, na picha ya uji uliomwaga ili tufanye hebabu kujua kama utapata madhara
 
Hizi tabia za kupeana misosi wakati hujaomba sio nzuri aiseee
 
Hizi tabia za kupeana misosi wakati hujaomba sio nzuri aiseee

Ndio najua….Sasa kama nimeunywa kidogo na nikaenda kutapika vipi madhara yanaweza kuwepo?
 
Ifike wakati ile maana ya 'home of great thinker'iondolewe ibaki tu kijiwe cha majobless yani mada zinazohusu kushambuliana kidini zimekua too much inaonesha hasa jinsi gani sisi makafiri tunawachukia wenzetu,hua namshangaa sana mtu anaemchukia mtu wa Imani tofauti na yake ilihali dini ni urithi tu kutoka kwa wazazi wako! the same aliezaliwa masai karithi umasai aliezaliwa na Christian karithi ukristo so chuki za nini hasa naona miezi ya jamaa wanapokua kwenye ibada zao za kubadilisha muda wa kula mada za kuwadiscuss zinazidi? Alafu nimegundua kitu nowdays hawana time na itikadi za zamani kubishana na system wamebailika kinoma wanapiga mambo yao kimya hawana sijui mihadhara vituo vya daladala sijui kwenye mabasi so chuki za nini juu yao?
 
Kama mungu amepanga ulogwe utalogwa tuu and vice versa hakuna kitu unafanya kwa ujanja wako acha kuishi kwa uoga
Wanajamii nahitaji msaada wenu kidogo…Mimi hapa ninapokaa kwa mbele kuna kanyumba ka uswahili sasa muda wa kufturu umefika nikaletewa uji,kuletewa nikaona aibu ikabidi nyinwe tu maana ningeonekana vipi kwa watu au labda na ringa…ule uji nimekunywa kama robo hivi kikombe,mwingine nimeingia home nikamwaga,na nikaenda chooni kutapika nikahakikisha uji wote umeisha…Swali langu,je kama mtu alikuwa na nia mbaya na mimi kupitia hicho kiwango kidogo cha uji anaweza nidhulu au nilivyojitapisha bado naweza dhulika? Wakuu nipeni muongozo,nakumbuka kwetu niliambiwa usipewe vitu vya kula kula hasa kwa watu usiowaamini
 
Ifike wakati ile maana ya 'home of great thinker'iondolewe ibaki tu kijiwe cha majobless yani mada zinazohusu kushambuliana kidini zimekua too much inaonesha hasa jinsi gani sisi makafiri tunawachukia wenzetu,hua namshangaa sana mtu anaemchukia mtu wa Imani tofauti na yake ilihali dini ni urithi tu kutoka kwa wazazi wako! the same aliezaliwa masai karithi umasai aliezaliwa na Christian karithi ukristo so chuki za nini hasa naona miezi ya jamaa wanapokua kwenye ibada zao za kubadilisha muda wa kula mada za kuwadiscuss zinazidi? Alafu nimegundua kitu nowdays hawana time na itikadi za zamani kubishana na system wamebailika kinoma wanapiga mambo yao kimya hawana sijui mihadhara vituo vya daladala sijui kwenye mabasi so chuki za nini juu yao?

Mkuu lengo la huu uzi sio kushambulia imani au kuleta chuki hapana…Context yangu ni kwa mtu yoyote hata kama sio mambo ya kufturu
 
Itakuwa umekula uswahilini Sana au mazingira ya shirki Sana ... Au wewe ni mnyakyusa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom