Wataalamu nisaidieni

pole sn dadangu n kumpa mumeo ktk hali hiyo maana naye pia anaweza kupt matatizo we muone daktari na km umesha muona na akakupa dawa uka2mia bila mafanikio badilisha uende kwa dr mwingine.naiman mungu atakusaidia.

asante
 

Naunga mkono ushauri huu!
 
Pole sana....mwenyewe iliwah nitokea kwa muda wa mwezi mmoja tena ilikuwa ya nguvu ile mbaya hadi nilistop kwenda kazini,baada ya hali kuzidi ilibidi niende nyumbani ndo nikapewa dawa za jadi nikapona.Mpaka leo huwa sijui tatizo lilikuwa nn maana by then sikuwa ktk mahusiano na wala sikuwah kutumia dawa za uzazi wa mpango.

Kwa case yako hiyo,mi naona haina shida kubwa hasa kwa vile flow ni ndogo hivyo zingatia ushauri wa wadau km walivyosema.
 
Isijekuwa ni uterine fibroid..maana wanawake wengi huwa wana-suffer from that disease. Ila kama alivyosema dada King'asti,nenda kaonane na daktar wa wanawake..usikie atasemaje. I believe utapata quick solution hapo. M'Mungu akujaalie dada,upate nafuu haraka na hatimaye kupona..
 

asante sana kwa dua na ushauri
 

nashkuru
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…