Wataalam wa MySQL na PHP Msaada wenu unahitajika

Wataalam wa MySQL na PHP Msaada wenu unahitajika

Given Edward

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
850
Reaction score
203
Salamu wakuu. Ninacreate a wap community and nipo kwenye final touches lakini napata hii Error!!! message:

notok.gif

Error! Cannot Connect To Database...

This error happens usually when backing up the database, please be patient...

Tatizo ni nini? Naomba msaada wenu tafadhali. Ahsanteni, Nawasilisha.
 
Salamu wakuu. Ninacreate a wap community and nipo kwenye final touches lakini napata hii Error!!! message:


Tatizo ni nini? Naomba msaada wenu tafadhali. Ahsanteni, Nawasilisha.

Unatumia script gani? Cheki configuration file . inawezean kuna vitu kama
database name au passpword au Host name umekosea detail zake.

La sivyo anagalia Kwenye Phymyadmin kama database uliyocreate ipo na table zake zote zipo sawa na hazijawa corrupted au ziko kwenye suspect mode.

google jina la script unaytumia likiambatana na hiyo error message.

Kama script unayotumia ina forum jarijibu kucheki hukopia


BTN

Nakushauri jaribu kufanya sutafiti ya kutafuta free hsoting wanaotoa facility nyingi zaidi. binafisi natumia x10hosting.com

Au jaribu ku google na kusoma review za wataalam kuhusu "best free hosting 2011" kama hiii hapa
 
Unatumia script gani? Cheki configuration file . inawezean kuna vitu kama
database name au passpword au Host name umekosea detail zake.

La sivyo anagalia Kwenye Phymyadmin kama database uliyocreate ipo na table zake zote zipo sawa na hazijawa corrupted au ziko kwenye suspect mode.

google jina la script unaytumia likiambatana na hiyo error message.

Kama script unayotumia ina forum jarijibu kucheki hukopia


BTN

Nakushauri jaribu kufanya sutafiti ya kutafuta free hsoting wanaotoa facility nyingi zaidi. binafisi natumia x10hosting.com

Au jaribu ku google na kusoma review za wataalam kuhusu "best free hosting 2011" kama hiii hapa

natumia lavalair/wapdesire script.
 
natumia lavalair/wapdesire script.

sasa details hizi unazotakiwa uingiza kwenye config zipo sawa na sahihi? Nadhani humo kua detail hujaweka ndio maana . File hili la config.php limo ndani ya file la wap
PHP:
<?php 
 $dbname = "";
$dbhost = "";
$dbuser = "";
$dbpass = "";
$max_buds=100;
$topic_af = 20;
$post_af = 15;
$onver = true;
?>

KWa nini hiyo error inatokea ?
Angalia file la Index php lililomo ndani ya folder la wap
PHP:
<?php
include("../blocked.php");
include("config.php");
include("core.php");
//session_start();
header("Content-type: text/vnd.wap.wml");
header("Cache-Control: no-store, no-cache, must-revalidate");
echo "<?xml version=\"1.0\"?>";
echo "<!DOCTYPE wml PUBLIC \"-//WAPFORUM//DTD WML 1.1//EN\"". " \"http://www.wapforum.org/DTD/wml_1.1.xml\">";
?>
<wml>
<?php
$bcon = connectdb();
if (!$bcon)
{
    echo "<card id=\"main\" title=\"(ERROR!)\">";
    echo "<p align=\"center\">";
    echo "<img src=\"../images/exit.gif\" alt=\"!\"/><br/>";
    echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
    echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
    echo "</p>";
    echo "</card>";
    echo "</wml>";
    exit();

Line ya 13 inatafuta ku-connect na db utumia fucntion hii $bcon = connectdb(); Na hii function detail zke zipo kwenye file config.php nililotaj hapo juu > sababu inashindwa kupat detail sahihi za config.php ndio maana unapata ujue huo amabo upo kwenye line 19 na 20

Index.php

PHP:
........................................
19   echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
20   echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
..........


So make sure database name hostname na password ziko sahihi. Sababu hiyo eero maana yke ni kuwa inashinwa u connec na database na sabbau kubwa ya kushindwa ni detail ulizoweka.

Hope umeelewa mkuu
 
sasa details hizi unazotakiwa uingiza kwenye config zipo sawa na sahihi? Nadhani humo kua detail hujaweka ndio maana . File hili la config.php limo ndani ya file la wap
PHP:
<?php 
 $dbname = "";
$dbhost = "";
$dbuser = "";
$dbpass = "";
$max_buds=100;
$topic_af = 20;
$post_af = 15;
$onver = true;
?>

KWa nini hiyo error inatokea ?
Angalia file la Index php lililomo ndani ya folder la wap
PHP:
<?php
include("../blocked.php");
include("config.php");
include("core.php");
//session_start();
header("Content-type: text/vnd.wap.wml");
header("Cache-Control: no-store, no-cache, must-revalidate");
echo "<?xml version=\"1.0\"?>";
echo "<!DOCTYPE wml PUBLIC \"-//WAPFORUM//DTD WML 1.1//EN\"". " \"http://www.wapforum.org/DTD/wml_1.1.xml\">";
?>
<wml>
<?php
$bcon = connectdb();
if (!$bcon)
{
    echo "<card id=\"main\" title=\"(ERROR!)\">";
    echo "<p align=\"center\">";
    echo "<img src=\"../images/exit.gif\" alt=\"!\"/><br/>";
    echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
    echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
    echo "</p>";
    echo "</card>";
    echo "</wml>";
    exit();

Line ya 13 inatafuta ku-connect na db utumia fucntion hii $bcon = connectdb(); Na hii function detail zke zipo kwenye file config.php nililotaj hapo juu > sababu inashindwa kupat detail sahihi za config.php ndio maana unapata ujue huo amabo upo kwenye line 19 na 20

Index.php

PHP:
........................................
19   echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
20   echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
..........


So make sure database name hostname na password ziko sahihi. Sababu hiyo eero maana yke ni kuwa inashinwa u connec na database na sabbau kubwa ya kushindwa ni detail ulizoweka.

Hope umeelewa mkuu

THANK YOU SOO MUCH! I will give feedback when I get to PC.
 
Another thing: kwanini inablock opera mini and other java apps? How do I unblock?
 
sasa details hizi unazotakiwa uingiza kwenye config zipo sawa na sahihi? Nadhani humo kua detail hujaweka ndio maana . File hili la config.php limo ndani ya file la wap
PHP:
<?php 
 $dbname = "";
$dbhost = "";
$dbuser = "";
$dbpass = "";
$max_buds=100;
$topic_af = 20;
$post_af = 15;
$onver = true;
?>

KWa nini hiyo error inatokea ?
Angalia file la Index php lililomo ndani ya folder la wap
PHP:
<?php
include("../blocked.php");
include("config.php");
include("core.php");
//session_start();
header("Content-type: text/vnd.wap.wml");
header("Cache-Control: no-store, no-cache, must-revalidate");
echo "<?xml version=\"1.0\"?>";
echo "<!DOCTYPE wml PUBLIC \"-//WAPFORUM//DTD WML 1.1//EN\"". " \"http://www.wapforum.org/DTD/wml_1.1.xml\">";
?>
<wml>
<?php
$bcon = connectdb();
if (!$bcon)
{
    echo "<card id=\"main\" title=\"(ERROR!)\">";
    echo "<p align=\"center\">";
    echo "<img src=\"../images/exit.gif\" alt=\"!\"/><br/>";
    echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
    echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
    echo "</p>";
    echo "</card>";
    echo "</wml>";
    exit();

Line ya 13 inatafuta ku-connect na db utumia fucntion hii $bcon = connectdb(); Na hii function detail zke zipo kwenye file config.php nililotaj hapo juu > sababu inashindwa kupat detail sahihi za config.php ndio maana unapata ujue huo amabo upo kwenye line 19 na 20

Index.php

PHP:
........................................
19   echo "<b>Error! Cannot Connect To Database...</b><br/><br/>";
20   echo "This error happens usually when backing up the database, please be patient...";
..........


So make sure database name hostname na password ziko sahihi. Sababu hiyo eero maana yke ni kuwa inashinwa u connec na database na sabbau kubwa ya kushindwa ni detail ulizoweka.

Hope umeelewa mkuu

DATABASE CREDENTIALS zote zipo sahihi but still error!!
 
Just what i was afraid of. No tables created.

givenality big up kwa kuna tatizo dats y kwenye comment number 4 nilikushauri hivi
Mtazamaji said:
.....La sivyo anagalia Kwenye Phymyadmin kama database uliyocreate ipo na table zake zote zipo sawa na hazijawa corrupted au ziko kwenye suspect mode...............

But hiyo script unayotumia

ina support ndogo sana . Online forum nyingi zinaoenekana ni za mwaka 2007. So am sure there must be an alternative best free WAP solution inayotumiwa watu kwa sasa na yenye support kubwa
intallation ya database has to be done Manually mafaili ya ku create tables yako kweye folder la sql
inaonyesha ina some bugs so itabidi utumie muda sana kwani utakutana na vitatizo vingi tu. I've just tried home page ikaja vizuri but kuna bug nyingine. kibao.

BTN
Vipi ile script nyingine uliyokuwa uatumia? Au ndio hiii.
 
Ile ya kwanza ni kama hii isipokuwa it had way more errors. Najaribu kutafuta nyingine but they say kwamba hii ndio THE BEST wap community script on the net na wengi wameimodify tu. I just have to make it through.
 
Back
Top Bottom