Wataalam Wa INTERCOM, Msaada!

Wataalam Wa INTERCOM, Msaada!

Rene Jr.

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
3,730
Reaction score
2,391
Nahitaji PBX, moderate pricing tafadhali. Kama unauza vifaa vya mawasiliano tuwasiliane tafadhali!
 
hapo utahitaji 24 extensions, maana iko 8, 16, 24, 36 na kuendelea. hiyo ya 24 ni sh 650,000 (Panasonic)
kama unahitaji na console ni sh 180,000 (Panasonic)

kama unahitaji fundi wa kufanya installation ninafanya pia. 0767659145, 0787659145, alphonce_tz@hotmail.com
Unapatikana wapi, kazi ya extension 24 itakuchukua muda gani (point ya mbali kabisa ni mita 15, zote floor moja), utanicharge kiasi gani? PBX extension 16 ports ni bei gani unauza?

Halaf hiyo console ni model gani?
 
Unapatikana wapi, kazi ya extension 24 itakuchukua muda gani (point ya mbali kabisa ni mita 15, zote floor moja), utanicharge kiasi gani? PBX extension 16 ports ni bei gani unauza?

Halaf hiyo console ni model gani?
kama unaitaji pbx na ufundi mzma nitafute mana Kuna engineer yupo ttcl namfahamu na ni mkali wa hizi kazi nikuunganishe nae
0657337030
 
Unapatikana wapi, kazi ya extension 24 itakuchukua muda gani (point ya mbali kabisa ni mita 15, zote floor moja), utanicharge kiasi gani? PBX extension 16 ports ni bei gani unauza?

Halaf hiyo console ni model gani?

Panasonic 16 extensions ni 550,000
Console ni Panasonic
Installation cost ni sh 350,000. kazi inachukua maximum siku 4
Napatikana Dar, ingawa nafanya kazi sehemu mbalimbali mikoani. kwa sasa niko Arusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom