Wataalam wa Electronics msaada kwa hili

Wataalam wa Electronics msaada kwa hili

kateka

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2012
Posts
690
Reaction score
528
Ni kuhusu music system/ Radio, nimesikia kila Nchi inatumia power supply tofauti tofauti mfano Tz tunatumia 220v, naomba mnisaidie hili nisije nikaingia chaka kuna mziki wameandika "power input is 100-240v 50/60 HZ" Je radio/ music system yenye specification hizo inaweza ku operate hapa Tz?
cc Transistor
 
kateka
Iyo ina operate tz kama kawaida mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ni kuhusu music system/ Radio, nimesikia kila Nchi inatumia power supply tofauti tofauti mfano Tz tunatumia 220v, naomba mnisaidie hili nisije nikaingia chaka kuna mziki wameandika "power input is 100-240v 50/60 HZ" Je radio/ music system yenye specification hizo inaweza ku operate hapa Tz?
cc Transistor

Yeah, inapiga mzigo kabisa.

Input power inaelezea kiwango cha chini cha power ambacho radio inaweza ku sense na kurespond, Tz freq za ac power ni 60, so itapiga mzigo.

Kingine hizi device nyingi za umeme hutengenezwa kutumika katika nchi zote.
 
Ni kuhusu music system/ Radio, nimesikia kila Nchi inatumia power supply tofauti tofauti mfano Tz tunatumia 220v, naomba mnisaidie hili nisije nikaingia chaka kuna mziki wameandika "power input is 100-240v 50/60 HZ" Je radio/ music system yenye specification hizo inaweza ku operate hapa Tz?
cc Transistor
usiogope hiyo inafanya kazi tz . tena bila shaka hiyo system inatumia SWITCHING POWERSUPPLY. yaani ni automatic inaweza kuOperate kuanzia 100V hadi 240V automatically bila kuhitaji manual voltage selection.

BEST WISHES
 
usiogope hiyo inafanya kazi tz . tena bila shaka hiyo system inatumia SWITCHING POWERSUPPLY. yaani ni automatic inaweza kuOperate kuanzia 100V hadi 240V automatically bila kuhitaji manual voltage selection.

BEST WISHES
Ahsante sana Mkuu
 
Yeah, inapiga mzigo kabisa.

Input power inaelezea kiwango cha chini cha power ambacho radio inaweza ku sense na kurespond, Tz freq za ac power ni 60, so itapiga mzigo.

Kingine hizi device nyingi za umeme hutengenezwa kutumika katika nchi zote.
Ac power ni 50Hz kwa tz
 
Soma Tanesco wenyewe wanachosema hapa, Electricity Charges

Mexico wenyewe wanatuambia ni 120/240 single phase, lakini lazima kuwe n0‡1- fixed inayotambulika, kama zilivyowekwa hapa Wall Plug and Voltage Standards Worldwide, plug styles, voltages, frequency 50Hz or 60Hz
sawa mkuu but kwa IEE regulation nchi zenye frequency ya 50Hz standard single ni 240 then hao Tanesco umeme wana supply kwa customers ni chini kabisa ya 220 that y kunatokea matatizo ya low voltage

.Mexico wao ni sawa kwa single phase kuwa 120 na iyo 240 ni three phase nadhani tumepishana now Frequency wao ni 60Hz kama brazil au Usa
 
acha kujifanya mjuaji utaonekana wa maana kama ungemjibu swali alilouliza, kama huna msaada piga kimya.

In case angejibu haelewi si angepata maelezo mazuri tu !
yote hii ni kutafuta tu ndu njia gani yakumfungua zaidi !
Watanzania tunazidi kuwa wajinga siku hadi siku.
 
Wakuu kuna alternative iwapo nikanunua device inayotumia power supply ya 110v? Kuna kifaa cha Ku convert?
 
Back
Top Bottom