Ni kuhusu music system/ Radio, nimesikia kila Nchi inatumia power supply tofauti tofauti mfano Tz tunatumia 220v, naomba mnisaidie hili nisije nikaingia chaka kuna mziki wameandika "power input is 100-240v 50/60 HZ" Je radio/ music system yenye specification hizo inaweza ku operate hapa Tz?
cc Transistor
cc Transistor