Wataalam Mtusaidie: Je, Tanzania Tuna Kodi Kubwa?

Hebu Sikiliza Hiyo Video (Source - Mange)

Ukiwa hujui mambo unaweza ropoka ropoka kama huyo kahaba huko marekani anaejiuza afu watu wanamwamimi.

Kodi zipo kwa mujibu wa sheria sasa anavyosema nyingi sijui anamanisha nini lakn pia ili kodi ianzishwe hapa Tanzania lazima uwepo mchakato shirikishi na nchi wanachama wa jumuiya ya afrika masharika na jumuiya nyingine za kiuchumi pia
 
VAT inalipwa on consumption hvyo kama unadhan mfanya biashara analipa VAT ni akili ndogo anaelipa VAT ni mnunuaji na ndo maana VAT haiwi charged on inputs purchase ila kwa inatozwa kwa sales.
Kodi nyingine ni kodi za huduma hapo ni mbali na kodi ya mapato Income tax ambayo ni 30% .

Kwanini tunalalamika tunalipa Kodi kubwa??

Majibu ni kutokuwa watu makini katika manunuzi yetu zaidi kutokutunza record sahihi na kudai haki zetu,
Mfano mtumishi yoyote wa Umma ama serikali kuu anapata relief ya kodi katika baadhi ya importations lakn hatuclaim tunaagiza magari uchochoroni bila kufata vigezo tipate relief then tunalalamika lazima tutalipa kodi kubwa tu na nyingi.

Hatudai receipt kwenye manunuzi yetu jambo ambalo linampa mwanya mfanya biashara ile kodi tunayoilipa sisi as tax burden inaipora na hvyo kumfanya ashindwe kutunza kumbukumbu sahihi za kodi walija wataalamu wa kodi watamkadilia tu na hawezi lalamika sababu anajua alichokifanya
 
Ukiwa hujui mambo unaweza ropoka ropoka kama huyo kahaba huko marekani anaejiuza afu watu wanamwamimi.

Kodi zipo kwa mujibu wa sheria sasa anavyosema nyingi sijui anamanisha nini lakn pia ili kodi ianzishwe hapa Tanzania lazima uwepo mchakato shirikishi na nchi wanachama wa jumuiya ya afrika masharika na jumuiya nyingine za kiuchumi pia
Mkuu sidhan kama upo sahihi na unaongea kitu usicho kijua kabisa ingawa umejitahidi kuonesha kuna unacho kifahamu lakin ki ukweli hujui lolote mkuu kuhusu maswala ya kodi kitaifa na mchakato wake kimataifa ,hongera pia kwa kukashifu mtoa mada.
 
Kwenye kuagiza magari kuna kodi nyingi ukimanisha nini??

Manake kwenye kuagiza gari kuna kodi tatu tu.
1.Import duty 20%.
2.Excise duty.
3. VAT 18% sasa unavyosema nyingi unamanisha nini
VAT inapigwa baada ya hesabu yote ya juu kukamilika na almost kodi ya gari ni sawa na pesa ya ununuzi wa gari.
Kuna jibu moja la kisiasa niliwahi pata eti tunalinda viwanda vya ndani"nyumbu"??
 
Kodi kubwa hupunguza ari ya kuanzisha biashara na kujenga viwanda na matokeo yake mapato ya serikali hushuka.
Hupelekea pia bei za bidhaa kuongezeka na wateja kupungua. Biashara kwa ujumla hudorora.

Kwenye hiyo video wametolea mfano hususan tanzania haitakiwi kupewa misaada kwa kuwa na sera mbovu za uchumi.
 
VAT inapigwa baada ya hesabu yote ya juu kukamilika na almost kodi ya gari ni sawa na pesa ya ununuzi wa gari.
Kuna jibu moja la kisiasa niliwahi pata eti tunalinda viwanda vya ndani"nyumbu"??
kuna umuhimu mkubwa wa kodi na kodi zote huwa zipo kwa sababu.
Mfano kuna dumping charges ambazo unatakowa ulipe unaponunua gari ambalo limezidi miaka10 na ndo maana utaona kununua gari hzi zetu tunazomudu ni ghari sana sababu ni nzee nyingi zimezd miaka kumi ili kutofanya nchi ikawa jalala la uchafu basi kuna kuwepo na vtu kama hvyo..

lakn pia ni kudiscourage importation ili waje wajenge huku kwetu watu wapate ajira
 
kuna umuhimu mkubwa wa kodi na kodi zote huwa zipo kwa sababu.
Mfano kuna dumping charges ambazo unatakowa ulipe unaponunua gari ambalo limezidi miaka10 na ndo maana utaona kununua gari hzi zetu tunazomudu ni ghari sana sababu ni nzee nyingi zimezd miaka kumi ili kutofanya nchi ikawa jalala la uchafu basi kuna kuwepo na vtu kama hvyo..

lakn pia ni kudiscourage importation ili waje wajenge huku kwetu watu wapate ajira
Sasa hiyo imesaidia kupata viwanda vya magari hapa kwetu?
Review za kodi kiuhalisia zilitakiwa zifanyiwe kazi, kwa nini wenzetu Zanzibar,Uganda hata nchi kama Ghana na Nigeria ushuru wao uko chini?
 
Mimi nadili na magari toka Japan, ukweli ni kwamba, kodi ni almost 90% na pesa umenunulia Gari, ni kubwa Sana, compare na nchi zingine. Msitake kujifanya mnatetea hii kodi ATI ni sawa, angalia wenzetu Kongo, Malawi, msumbiji, Uganda, kodi zao ziko fair Sana,
 
Mimi nadili na magari toka Japan, ukweli ni kwamba, kodi ni almost 90% na pesa umenunulia Gari, ni kubwa Sana, compare na nchi zingine. Msitake kujifanya mnatetea hii kodi ATI ni sawa, angalia wenzetu Kongo, Malawi, msumbiji, Uganda, kodi zao ziko fair Sana,
Kiongozi naomba utufanyie comparison ya kodi mf. Uganda vs Tanzania, hasa kwenye magari. Napenda watu wanaotoa mifano hai kama wewe...
 
Back
Top Bottom