Wataalam dawa ya wizi wa simu tz

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,122
9,209
wakuu nawatakia heri ya mwaka mpya.

mm nimekaa na kufikiri hivi hakuna namana ya kufanya au hakuna program au softwere ya kuzuia au kukomesha wizi wa sim hapa bongo? hasa hata kwa hizi zenye uwezo wa kufungua net?ukiachilia mbali na ile ya kwenye sumsung ya kutuma namba ya sim kila atakapo badili line.

hivi haiwezekani kweli japo hata kwa kujua tu kuwa sim hii iliyoibiwa sasa hivi inatumika na namba flani na hata kama ikibadilishwa line hata mara 10 uweze kupata mtiririko mzima wa line zilizo wekwa kwenye sim??

hasa kwa kutumia IMEI namba .nazani mtalaam atakaye gundua au kubuni hili hapa bongo atasaidia wengi sana kiasi cha kukomesha wizi wa sim.
maana ukiibiwa sim unapoteza mengi sana na wengi huwa wanahaha japo wapate tu contact zilizopo kwenye sim hata kwa garama ya kuzidi sim yenyewe.

WATAALAM UMIZENI VICHWA BASI
FURSA HIYOO.
 
wakuu nawatakia heri ya mwaka mpya.

mm nimekaa na kufikiri hivi hakuna namana ya kufanya au hakuna program au softwere ya kuzuia au kukomesha wizi wa sim hapa bongo? hasa hata kwa hizi zenye uwezo wa kufungua net?ukiachilia mbali na ile ya kwenye sumsung ya kutuma namba ya sim kila atakapo badili line.

hivi haiwezekani kweli japo hata kwa kujua tu kuwa sim hii iliyoibiwa sasa hivi inatumika na namba flani na hata kama ikibadilishwa line hata mara 10 uweze kupata mtiririko mzima wa line zilizo wekwa kwenye sim??

hasa kwa kutumia IMEI namba .nazani mtalaam atakaye gundua au kubuni hili hapa bongo atasaidia wengi sana kiasi cha kukomesha wizi wa sim.
maana ukiibiwa sim unapoteza mengi sana na wengi huwa wanahaha japo wapate tu contact zilizopo kwenye sim hata kwa garama ya kuzidi sim yenyewe.

WATAALAM UMIZENI VICHWA BASI
FURSA HIYOO.

Smartphone "zote" zina njia ya kubackup (sync) contact info, tatizo watu wanazembea hadi watakapoibiwa. Android contacts zinasync na Google contacts, iPhone zina iCloud, Windows Phone ina Live services. Pia kuna app kibao za kufanya manualy kama unataka. Pia zote zina service ya kutrack simu yako na pia kufuta data zote kwenye simu.

Kuhusu kuzuia kuibiwa hili lilitakiwa kufanywa na hawa providers wetu ulitakia ukiripoti polisi kuwa simu yako imeibiwa basi IMEI yake inakuwa blacklisted mitandao yote, hivyo kuwa useless, hii ingepunguza sana soko la simu za wizi. Lakini wao hawafanyi hilo kwa vile wanaona watakosa wateja tu, haina faida kwao kuzuia wizi, hapa inabidi sheria, kama US wameanzisha database ya simu zilizoibiwa ambazo zinakuwa blocked mitandao yote.

Kwa upande wetu tunaweza kuweka passwords kwenye simu na kuencrypt data za kwenye simu, hii inamfanya mwizi at least afanye kazi ya ziada kabla kuweza kuiuza simu, na simu zengine ni ngumu kuunlock password, pia encryption itazuia data zako zisiwezwe kusomwa na mwizi.

Pia kwenye laptop hili ndo muhimu sana, bios na hard drive password za laptop ni almost impossible kuzitoa, hivyo wote tungeziweka tungeua soko la wizi kwa kiasi kikubwa sana.
 
Waumize vichwa mara ngapi? Maujanja yapo kitambo sana sijui wewe unakaa pori gani la hifadhi ndugu?
 
When you discover the way of controling thief,still thief find the way on how to still......let's our head get pain

Sent from my BlackBerry 8520 from Southt-West TZ
 
Nashukuru sana kwa ufafanuzi huu mkuu, nje kidogo ya mada.. naomba unielekeze namna ya kuextend internal memory ya simu. Maana hii kila nikiongeza application inalalama low space pamoja na jitihada za kuhamisha application kwenye Memory Card (sio zote zinakubali kuhama) lakini tatizo limeendelea kujitokeza. Nitashukuru
 
Au jaribun avast premium na avg pro znahelp ila uzifanye device administrator

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
wakuu nawatakia heri ya mwaka mpya.

mm nimekaa na kufikiri hivi hakuna namana ya kufanya au hakuna program au softwere ya kuzuia au kukomesha wizi wa sim hapa bongo? hasa hata kwa hizi zenye uwezo wa kufungua net?ukiachilia mbali na ile ya kwenye sumsung ya kutuma namba ya sim kila atakapo badili line.

hivi haiwezekani kweli japo hata kwa kujua tu kuwa sim hii iliyoibiwa sasa hivi inatumika na namba flani na hata kama ikibadilishwa line hata mara 10 uweze kupata mtiririko mzima wa line zilizo wekwa kwenye sim??

hasa kwa kutumia IMEI namba .nazani mtalaam atakaye gundua au kubuni hili hapa bongo atasaidia wengi sana kiasi cha kukomesha wizi wa sim.
maana ukiibiwa sim unapoteza mengi sana na wengi huwa wanahaha japo wapate tu contact zilizopo kwenye sim hata kwa garama ya kuzidi sim yenyewe.

WATAALAM UMIZENI VICHWA BASI
FURSA HIYOO.

Kang hebuf fanya jambo zuri umwage dataza kutosha tuweze kuprotect simu na laptop zetu. Jinsi ya kufanya settings hizo.
 
wakuu nawatakia heri ya mwaka mpya.

mm nimekaa na kufikiri hivi hakuna namana ya kufanya au hakuna program au softwere ya kuzuia au kukomesha wizi wa sim hapa bongo? hasa hata kwa hizi zenye uwezo wa kufungua net?ukiachilia mbali na ile ya kwenye sumsung ya kutuma namba ya sim kila atakapo badili line.

hivi haiwezekani kweli japo hata kwa kujua tu kuwa sim hii iliyoibiwa sasa hivi inatumika na namba flani na hata kama ikibadilishwa line hata mara 10 uweze kupata mtiririko mzima wa line zilizo wekwa kwenye sim??

hasa kwa kutumia IMEI namba .nazani mtalaam atakaye gundua au kubuni hili hapa bongo atasaidia wengi sana kiasi cha kukomesha wizi wa sim.
maana ukiibiwa sim unapoteza mengi sana na wengi huwa wanahaha japo wapate tu contact zilizopo kwenye sim hata kwa garama ya kuzidi sim yenyewe.

WATAALAM UMIZENI VICHWA BASI
FURSA HIYOO.

Anti-theft funga kazi kwa wezi wa njaa ni Avast anti-theft
Yaani hata ufanye Vp factory rest bado itabaki tu na mtu ataweza kudaba maana tayari unakuwa ushapata namba ya huyo mshamba aliyeiba simu...
Custom ROMs ndo bypass lkn sio simu zote unaweza na sio rahisi kujua kama mtu kaiba anapokuuzia
Soma maelezo hapa chini...
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...0681-msaada-jins-ya-kutraki-window-phone.html

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...um/570855-technolojia-iliyotumika-hapa-3.html
 
Ngoja nizisome maana nna ka androidd kangu kakiibiwa haka kupata kengine mpaka mwakan
 
Nmezisoma tatizo la hii sim yangu ni kua siwezi kuupdate app mpaka nitumie wireless, je kuna njia yoyote ya kusolve hi ki2 ili niweze download izo program?
 
Nmezisoma tatizo la hii sim yangu ni kua siwezi kuupdate app mpaka nitumie wireless, je kuna njia yoyote ya kusolve hi ki2 ili niweze download izo program?

nenda gogle playstore ondoa ile update apps when on wireless iko under settings
ikikushinda waweza tumia market za apps nyingine kama blackmart alpha...google blackmart alpha apk utaipata
 
nenda gogle playstore ondoa ile update apps when on wireless iko under settings
ikikushinda waweza tumia market za apps nyingine kama blackmart alpha...google blackmart alpha apk utaipata

Kaaaaaka inekubali, asante sana but kila nkidownload apps za gooflw mfano googlw maps na g+ zinadownlodika but zinagoma kuinstall but thanks
 
Back
Top Bottom