Waswahili wana msemo 'Hujafa hujaumbika'

Waswahili wana msemo 'Hujafa hujaumbika'

Ww kiherere unajionaga upo salama sana kua huko ulko,nan alikuambia kufuata sheria hakuwez kukufanya ukawa gerezan? Manji alfanya nn kama sio uonevu?
angefuata sheria asinge kaa Gerezani na huwezi kukaa gerezani kama unafuata sheria usiwadange watu.....asiyefuata sheria gerezani kuna muhusu kama huyo uliyemtaja....tatizo kubwa la watz siku hizi ni nkuishi kwa hisia na maneno ya mitaani.
 
Hiyo ni ajali kazini ni kawaida sana kwa binadamu,hata we hapo mtoa post chochote na saa yoyote usishangae ukaenda kuungana nao.
magereza yapo kwa ajili ya mwanadamu na wala si mnyama......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom