Wasukuma tujitambue

Wasukuma tujitambue

Hongera unaakili sana, hamasisha watu kupeleka maendeleo nyumbani na usikate tamaa ikibidi tengeneza network nzuri ya watu wengine ambao upo nao huko Canada.
 
Maendeleo yanahitaji moyo wa kujitolea na kuhamasisha watu, tengeneza network nzuri huko uliko ilikuleta maendeleo nyumbani. hongera kwa wazo zuri.
 
Kiukweli watu wengi wengi wa vijijini ni wachafu na huvaa nguo chafu pengine kutokana na nature ya kazi zao, ukosefu wa maji nk... Ila kwa wasukuma ni too much men...
 
Umenena mkuu, hili ndo kabila ambalo linaupendo wa dhati, c wabaguzi, na wachapakazi, sema tu wengi wao hawakwenda shule kipindi hicho bt nw wameenda, ingekuwa nchi za ukabila ndo Rais angetoka kwa wasukuma, ila sasa jamaa hawana makuu,

Bigup wasukuma!!!
 
Mimi ni msukuma, baba msukuma mama mtutsi naishi ottawa, canada. Natoa mwito kwa wasukuma wote ktk sayari hii- dunia kujitambua, kuwa ndugu na kusaidiana kwa hali na mali ili tuweze kupata maendeleo ktk maeneo ya nyumbani. Baba yangu ni mnyantuzu wa bariadi jina lake ni sendama

Kwanza usichokijua ni kwamba hakuna kitu kama Wasukuma, jina Wasukuma lilitungwa na Wazungu, wazungu waliamua tu kuwaita watu wanoishi Eneo hilo, Wasukuma yaani maana yake watu wa kutoka kaskazini, sasa watu wa kaskazini ni kina nani hao ni wote wanaoishi Kaskazini mwa mwa Ziwa Nyanza kuanzia Wanyankole wa Uganda, Wanyarwanda mpaka hawa wa kwetu, na ndio maana hakuna kitu kama Lugha ya Kisukuma hicho mnachoita kisukuma hakipo ni Lugha tu iliyovumbuliwa na Wazungu kama vile Kichaga hakuna kitu kama Lugha ya Kichaga, au sijui Kihaya hakuna kitu kama hicho!

Hivyo ulipaswa uanzie hapo, kujitambua kwanza kwamba wewe ni Mtanzania angalau ni jina tulilojipatiza wenyewe (Waafrika) kuliko Usukuma au sijui Uchaga ambayo tulibatizwa na wazungu!
 
Kwanza usichokijua ni kwamba hakuna kitu kama Wasukuma, jina Wasukuma lilitungwa na Wazungu, wazungu waliamua tu kuwaita watu wanoishi Eneo hilo, Wasukuma yaani maana yake watu wa kutoka kaskazini, sasa watu wa kaskazini ni kina nani hao ni wote wanaoishi Kaskazini mwa mwa Ziwa Nyanza kuanzia Wanyankole wa Uganda, Wanyarwanda mpaka hawa wa kwetu, na ndio maana hakuna kitu kama Lugha ya Kisukuma hicho mnachoita kisukuma hakipo ni Lugha tu iliyovumbuliwa na Wazungu kama vile Kichaga hakuna kitu kama Lugha ya Kichaga, au sijui Kihaya hakuna kitu kama hicho!

Hivyo ulipaswa uanzie hapo, kujitambua kwanza kwamba wewe ni Mtanzania angalau ni jina tulilojipatiza wenyewe (Waafrika) kuliko Usukuma au sijui Uchaga ambayo tulibatizwa na wazungu!

Toooo late br,!!!
 
Hakuna neno moja la kisukuma linalomaanisha maendeleo.So yatatoka wapi?
 
Back
Top Bottom