Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Pia washauri wapunguze kuwahi kuolewa kwa wadada na kuzaa watoto wengi mtu ana miaka 27 ana watoto 7.
unataka wazae wachache mama yangu angeishia 6 mi nisingekuwepo
Pia washauri wapunguze kuwahi kuolewa kwa wadada na kuzaa watoto wengi mtu ana miaka 27 ana watoto 7.
Duuuh mwenzenu mchagga mimi nilikua napenda niolewe na msukuma kuumbee hamjitambui teyner uwiii...basi nagaili ngoja nimkubalie yule chalii wa moshi...licha hajui mambo,lakin nitamkubalia ivyoivyo
Pande za ligi wako vizr kudadeks...sasa mbona wanalaumiana,nisije enda cha kasa alafu nikabakia na kusifia mechi nikafa maskini bure..namkubali chalii yangu najua kilajioni mahesabu nakabiziwa ya siku nzima...kutokujua kwake mechi nitamvumilia tuu
Mimi ni msukuma, baba msukuma mama mtutsi naishi ottawa, canada. Natoa mwito kwa wasukuma wote ktk sayari hii- dunia kujitambua, kuwa ndugu na kusaidiana kwa hali na mali ili tuweze kupata maendeleo ktk maeneo ya nyumbani. Baba yangu ni mnyantuzu wa bariadi jina lake ni sendama
Mnarudisha ukabila,Badala ya kusema Watanganyika tujitambue,nyie mnataka kutambuana kwa usukuma wenu!Shame on U. We msukuma uliyeolewa na Mtutsi,ubaguzi wenu muupeleke huko mnako malizana kisa Uhutu na Ututsi.
xvfhjduyehdebd
Mnarudisha ukabila,Badala
ya kusema Watanganyika tujitambue,nyie mnataka kutambuana kwa usukuma
wenu!Shame on U. We msukuma uliyeolewa na Mtutsi,ubaguzi wenu muupeleke
huko mnako malizana kisa Uhutu na Ututsi.
xvfhjduyehdebd
Wewe damu ya kitusi ndo inakusukuma...wasukuma ndivyo walivyo...
Mimi ni msukuma, baba msukuma mama mtutsi naishi ottawa, canada. Natoa mwito kwa wasukuma wote ktk sayari hii- dunia kujitambua, kuwa ndugu na kusaidiana kwa hali na mali ili tuweze kupata maendeleo ktk maeneo ya nyumbani. Baba yangu ni mnyantuzu wa bariadi jina lake ni sendama
njoo uone ndugu zako wanavyoabudu waganga na uchawi. wamewageuza binaadam wenzao malighafi kutengeneza uchawi kupata ubunge na utajiri. kama wewe albino kaa hukohuko. huko usukumani kuna maduka ya wachawi yenye leseni. sijui serikali yetu inaongozwa na wachawi?Mimi ni msukuma, baba msukuma mama mtutsi naishi ottawa, canada. Natoa mwito kwa wasukuma wote ktk sayari hii- dunia kujitambua, kuwa ndugu na kusaidiana kwa hali na mali ili tuweze kupata maendeleo ktk maeneo ya nyumbani. Baba yangu ni mnyantuzu wa bariadi jina lake ni sendama
njoo uone ndugu zako wanavyoabudu waganga na uchawi. wamewageuza binaadam wenzao malighafi kutengeneza uchawi kupata ubunge na utajiri. kama wewe albino kaa hukohuko. huko usukumani kuna maduka ya wachawi yenye leseni. sijui serikali yetu inaongozwa na wachawi?
Serikali yenyewe inayoabudu ushirikina hii unategemea nini? Mpaka kwenye bunge maalum la Katiba inapeleka wawakilishi wa wachawi akina Kingunge!!njoo uone ndugu zako wanavyoabudu waganga na uchawi. wamewageuza binaadam wenzao malighafi kutengeneza uchawi kupata ubunge na utajiri. kama wewe albino kaa hukohuko. huko usukumani kuna maduka ya wachawi yenye leseni. sijui serikali yetu inaongozwa na wachawi?