Wasukuma tujitambue

Mai-Ndombe

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
542
Reaction score
833
Mimi ni msukuma, baba msukuma mama mtutsi naishi ottawa, canada. Natoa mwito kwa wasukuma wote ktk sayari hii- dunia kujitambua, kuwa ndugu na kusaidiana kwa hali na mali ili tuweze kupata maendeleo ktk maeneo ya nyumbani. Baba yangu ni mnyantuzu wa bariadi jina lake ni sendama
 
Rudi tanzania ujitambue nani msukyma na ppt y canada loh
 
Karibu rudi nyumbani karibu simiyu yetu tumethubutu,tumeweza sasa tunasonga mbele.
 
Wewe damu ya kitusi ndo inakusukuma...wasukuma ndivyo walivyo...
 

Umenena Kaka yangu.
 
nikajua unataka washauri wawaache albino waishi...
 

jina lako linataka kufanana na rweyemamu....
 
Huwajui me wa Kisukuma wewe! Kama wewe ni ke jaribu kuwa karibu nao utatuletea habari. Shida ya Usukumani ni kuendekeza ushirikina tu lakini kwa mengine tuko vizuri sana!!

Hahahahahaaa! Kumbe na kwa ushirikina hamjambo eeh?!
Nawapa pole wallah!
 

Duuuh mwenzenu mchagga mimi nilikua napenda niolewe na msukuma kuumbee hamjitambui teyner uwiii...basi nagaili ngoja nimkubalie yule chalii wa moshi...licha hajui mambo,lakin nitamkubalia ivyoivyo
 
Duuuh mwenzenu mchagga mimi nilikua napenda niolewe na msukuma kuumbee hamjitambui teyner uwiii...basi nagaili ngoja nimkubalie yule chalii wa moshi...licha hajui mambo,lakin nitamkubalia ivyoivyo
Umenikumbusha wakati tuko Moshi wadada wa Kichagg walikuwa wanayakubali sana mambo ya Wasukuma!! Kwa hiyo na wewe unakubali kwenye ligi wako njema?
 
Umenikumbusha wakati tuko Moshi wadada wa Kichagg walikuwa wanayakubali sana mambo ya Wasukuma!! Kwa hiyo na wewe unakubali kwenye ligi wako njema?

Pande za ligi wako vizr kudadeks...sasa mbona wanalaumiana,nisije enda cha kasa alafu nikabakia na kusifia mechi nikafa maskini bure..namkubali chalii yangu najua kilajioni mahesabu nakabiziwa ya siku nzima...kutokujua kwake mechi nitamvumilia tuu
 
Wasukuma oyeeee

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Safi sana mleta mada,mkakati wa kutambuana basi uanze! Karibuni Ngudu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…