Wasukuma na simu

Wasukuma na simu

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
604
Reaction score
978
Nina marafiki wengi saana wa kabila la wasukuma! Hawa jamaa ni mabest zangu mno na nimetokea kuwakubali saana.


Ila nilichokigundua toka kwao, hawa jamaa wanapenda saana kuongea na simu. Sio wote ila wengi hupenda saana simu asee
 
Nina marafiki wengi saana wa kabila la wasukuma! Hawa jamaa ni mabest zangu mno na nimetokea kuwakubali saana.


Ila nilichokigundua toka kwao, hawa jamaa wanapenda saana kuongea na simu. Sio wote ila wengi hupenda saana simu asee
Kweli kabisaaaaaa haswa wakipanda kwenye gari jamaniiii mmmh .......mtu haongei alikotoka anasubiri apande kwenye gari atakavyoanza kuongea hivyoooo uuuuwiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom