Wastara aolewa kwa mara ya saba

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,799
Reaction score
44,554
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…