Nyongeza, kama wanaona wastaafu wana haribu pesa wazipatapo kwa mkupuo mmoja, basi selikali ianze utaratibu wa kuwalipa wastaafu mafao yao mapema kabla ya kustafu
Mtumishi akibakiza miaka kumi kufikia muda wa kustaafu, basi aanze kulipwa kwa awamu kumi. Hiyo 75% ilipwe mfanyakaz akiwa kazin na hyo 25% inayobaki alipwe mwaka anao staafu rasmi.
Wazo zuri sana. Fatma Karume chukua kesi hii haraka sana, onesha uzalendo. Serikali imegeuka jambazi dhidi ya raia wake.
Kama ni kada wa ccm temana nae..wamejitakiaNamhurumia sana baba angu
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Na wastaf wapenzi wa ccm wanaovaa tisheti na kofia watakuwepoSheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
bora kifutwe hakina faidaKile chama cha wafanyakazi kiwapiiiii??????
Wabunge baada ya miaka5 wanapata chao chote na ndiyo wanatutungia sisi hz sheriaHivi hao wanaotengeneza hizo Sheria wao haziwahusu au wana namna ya kuzikwepa sababu naona kama wanawatungia wengine!!!
Muulize kwanza 2015 kura yake alipigia wapi?Hii sheria itaanza kutumika kwa wastaaf wa mwaka gani maana mzee wangu kastaaf june mwaka huu km akiskia hii taarifa na hili rungu likimhusu anaweza kufa kwa presha kwa mipango aliyopanga
Hao majaji wana utaratibu waoAwe judge au hakimu wote ni wahanga wa sheria hii! Kwa vyovyote hawatawaangusha wastaafu labda apelekewe yule mkwe!
Cheki waliopigika kimaisha haoMstaafu akisikiliza sheria mpya ya KUSTAAFU na MCHANGO atakaopewa. Akicheki nyumba hata mlango wa mbao hana, anajuta kwanini hata aliiunga mkono CCM miaka yote hio. Sura ya huzuni na kukata tamaa.
Anasikia "Tunajenga SGR" wakati hata hajui nini kirefu cha SGR wala FLYOVER.View attachment 939373
Yani serikali hii imekaa kitapeli tapeli kweli.
Wito wangu kwa serikali, kama wanataka hela ya haraka haraka bila kukera mtu, si waanzishe sera ya kuruhusu WIZARA ziwe zina BET katika MIKEKA.
Hapa unakosa cha kuongea mwanalumumbaHakuna cha mahakamani wala marifi ya mahakama walahi
Uwongo mtupu walahi jitu zima ovyo kabisa walahi
Mkiambiwa muandamane hamtaki, anashangaa kwani nini mmeachiwa 25% mngepewa5%Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.