Wassira yuko sahihi kabisa

Wassira yuko sahihi kabisa

Kauli ya STEVEN wasira kuwa Rais Jakaya Kikwete kukutana na Vyama vya upinzani wwkiwemo UKAWA hakutabadili msimamo wa Wabhnge wa CCM wa serikali 2 iko sahihi kabisa kwa sababu kuu moja nayo ni:

Wapinzani wameitwa na rais, lakini, hata kama angewaita kama Mwenyekiti wa CCM, bado wabunge wake wana haki ya kutokubaliana naye kwa kile atakachoafikiana na wapinzani. Labda hapa niwaulize swali wale wanaobeza kauli ya Mzee Wasira na hasa UKAWA. Muungano wa UKAWA ni Muungano wa MBATIA, MBOWE na LIPUMBA au ni muungano wa vyama vya NCCR, CHADEMA na CUF? Kama jibu ni muungano wa vyama na siyo watu, basi msimamo wa UKAWA kutorudi bungeni ni msimamo wa wabunge wote wa vyama vinavyounda UKAWA. Vivyo hivyo msimamo wa serikali 2 ni msimamo wa Wabunge wote wa CCM na siyo wa JK.

katiba ni ya ccm au ya chadema, nccr au cuf...
 
Wassira? Hifadhi yetu hio inaharibu nchi. Iliwahi kutangaza kuwa Jk hana muda wa kukutana na ukawa huku akiionea wivu juice ya Ikulu,jk aliporudi toka majuu akawaita na wasira akawa mwalikwa ktk kikao hicho. Leo tena anampiga bt kikwete ili asiende kujenga muafaka na ukawa. Swali,hivi Hifadhi ni mkuu kuliko Jakaya?
 
Wasira na mabaki ya muumini wa chama kimoja hivyo mawazo yake bado ni mwaka 1966, ni viongozi ambao hawatakiwi tena na hawana tena msaada ktk dunia ya leo ukichanganya na uzee wake tayari akili yake inadumaa kila kukicha!
 
Ndiyo faraja mnayokwenda nayo ikuku? Naona kumbe mmependa kumshika mkono rais wenu, nendeni
Wasira asiwasemee wengine kwani KESSY na wengine wengi hawaungani na msimamo wa wakoloni mamboleo C.C.M.
 
Maskini Wasirra! akili za kufikiri,maono na wekedi unaporomoka kwa kasi ya kutisha!! Hivi hana wajukuu akacheze nao? Dah! hadi huruma!
 
Kilaza anapoenda kujadiliana mambo ya muhimu na vichwa
 
Back
Top Bottom