ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
nitaanza na wewe kwanza ndo waje akina Ritz, lizaboni, msalani nkNitawatafuta wote mlikojificha baada ya Jk kukutana na UKAWA
nitaanza na wewe kwanza ndo waje akina Ritz, lizaboni, msalani nkNitawatafuta wote mlikojificha baada ya Jk kukutana na UKAWA
kati ya MACHADEMA(a.k.a wazee wa viroba) wote, kidoogo unaonekana kuwa nazo. Safi kiongozi tukutane huko badala ya kulalama mitaaniMkuu thatha mie sina tabu na wewe wala Mzee wa pori, a.k.a Sokwe, a.k.a Wasira!
Hayo ni maoni yenu ya kikatiba na haki yenu kuwa na misimamo.
Mambo yote wacha tukutane kwa wananchi wakati wa kupiga kampeni za kukubari au kukataa hiyo katiba pendekezwa.
Hapo ndo maala maalum pa kumwaga sera mpaka kuwashawishi wananchi kuikubari au kuikataa.
Shida yangu ni kwamba pesa za wavuja jasho zinaliwa bure kwani katiba haiwezi pita kwa wananchi bila kukubalika kwanza kwa UKAWA.
nitaanza na wewe kwanza ndo waje akina Ritz, lizaboni, msalani nk
Ndiyo faraja mnayokwenda nayo ikuku? Naona kumbe mmependa kumshika mkono rais wenu, nendeni
Yeye kasema kama nani..maana kikwete kasema kama m kiti wa ccm..yeye wasira kasema kama nani,..?
Mbona mnjishitukia mapema subirini JK akapigwe hoja za msingi ndio mtajua UKAWA ni nani.!
CHADEMA muwashukuru sana NCCR na CUF, hivi sasa mngekuwa historia, hongereni kwa kubadili jina na kujiita UKAWA, labda chama kitapona
hii ni kazi yenu Lumumba si sisi wadau Wa mageuziNa usije ukabadili Id kama ikivyo kawaida yenu
Kauli ya STEVEN wasira kuwa Rais Jakaya Kikwete kukutana na Vyama vya upinzani wwkiwemo UKAWA hakutabadili msimamo wa Wabhnge wa CCM wa serikali 2 iko sahihi kabisa kwa sababu kuu moja nayo ni:
Wapinzani wameitwa na rais, lakini, hata kama angewaita kama Mwenyekiti wa CCM, bado wabunge wake wana haki ya kutokubaliana naye kwa kile atakachoafikiana na wapinzani. Labda hapa niwaulize swali wale wanaobeza kauli ya Mzee Wasira na hasa UKAWA. Muungano wa UKAWA ni Muungano wa MBATIA, MBOWE na LIPUMBA au ni muungano wa vyama vya NCCR, CHADEMA na CUF? Kama jibu ni muungano wa vyama na siyo watu, basi msimamo wa UKAWA kutorudi bungeni ni msimamo wa wabunge wote wa vyama vinavyounda UKAWA. Vivyo hivyo msimamo wa serikali 2 ni msimamo wa Wabunge wote wa CCM na siyo wa JK.
Wakishakutana , usije
ukapotea ndugu yangu idawa, uje urudie haya maneno yako, naona mnamuona
Jk kama mtu wa wasiwasi sana, mjeshi yule
Kauli ya STEVEN wasira kuwa Rais Jakaya Kikwete kukutana na Vyama vya upinzani wwkiwemo UKAWA hakutabadili msimamo wa Wabhnge wa CCM wa serikali 2 iko sahihi kabisa kwa sababu kuu moja nayo ni:
Wapinzani wameitwa na rais, lakini, hata kama angewaita kama Mwenyekiti wa CCM, bado wabunge wake wana haki ya kutokubaliana naye kwa kile atakachoafikiana na wapinzani. Labda hapa niwaulize swali wale wanaobeza kauli ya Mzee Wasira na hasa UKAWA. Muungano wa UKAWA ni Muungano wa MBATIA, MBOWE na LIPUMBA au ni muungano wa vyama vya NCCR, CHADEMA na CUF? Kama jibu ni muungano wa vyama na siyo watu, basi msimamo wa UKAWA kutorudi bungeni ni msimamo wa wabunge wote wa vyama vinavyounda UKAWA. Vivyo hivyo msimamo wa serikali 2 ni msimamo wa Wabunge wote wa CCM na siyo wa JK.
Vijana wa tanzani tuna tatizo la ufahamu wa mambo madogo madogo, nani kasema mm ni chadema..?! Swali yeye wasira kazungumza kama nani..? Kwa kuwa chadema wanafanya na ccm wakifanya haifanyi kuwa ni sawa..!Si heri CCM, huko CHADEMA mbona kila mtu ni msemaji? mara SLAA, mara LISSU, mara MBOWE na wakati mwingine haya kilaza Tumaini Makene
Kauli ya STEVEN wasira kuwa Rais Jakaya Kikwete kukutana na Vyama vya upinzani wwkiwemo UKAWA hakutabadili msimamo wa Wabhnge wa CCM wa serikali 2 iko sahihi kabisa kwa sababu kuu moja nayo ni:
Wapinzani wameitwa na rais, lakini, hata kama angewaita kama Mwenyekiti wa CCM, bado wabunge wake wana haki ya kutokubaliana naye kwa kile atakachoafikiana na wapinzani. Labda hapa niwaulize swali wale wanaobeza kauli ya Mzee Wasira na hasa UKAWA. Muungano wa UKAWA ni Muungano wa MBATIA, MBOWE na LIPUMBA au ni muungano wa vyama vya NCCR, CHADEMA na CUF? Kama jibu ni muungano wa vyama na siyo watu, basi msimamo wa UKAWA kutorudi bungeni ni msimamo wa wabunge wote wa vyama vinavyounda UKAWA. Vivyo hivyo msimamo wa serikali 2 ni msimamo wa Wabunge wote wa CCM na siyo wa JK.
Hana usahihi wowote ccm wanafuata upepo,akisema leo jk ni tatu kesho wote watashabikia tatu hadi utashangaa.
You are absolutely right.Hana usahihi wowote ccm wanafuata upepo,akisema leo jk ni tatu kesho wote watashabikia tatu hadi utashangaa.