Wassira sema neno Sakata ya Gwajimanization!

Wassira sema neno Sakata ya Gwajimanization!

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
7,682
Reaction score
9,522
Makamu umenyuti Sana hatujakuzoea hivyo tafadhali okoa jahazi vinginevyo Askofu hana dogo huyu
 
Makamu umenyuti Sana hatujakuzoea hivyo tafadhali okoa jahazi vinginevyo Askofu hana dogo huyu
Acha mambo yajichambue wenyewe kwa wenyewe huko ndani. Huku nje tunasubiri matokeo tu ya uchambuzi huo.
Usifikiri mambo ni shwari tu huko CCM wakati huku nje Tanzania inayumba.

Hawa watu wamepewa nafasi za uongozi ndani ya CCM bila kujuwa kuwa wanawekwa kutumika tu kama vikaratasi vya kufutia uchafu.
 
Makamu umenyuti Sana hatujakuzoea hivyo tafadhali okoa jahazi vinginevyo Askofu hana dogo huyu
Mbona unachekesha kijana, yaani chizi Wassira huyu huyu aseme kitu kweli, jioni hii tu watu wamemkuta chemba na changu wake akipewa massage huku akinywa gongo kama kawaida yake.
 
Back
Top Bottom