Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Wote tunajua kwamba Katika Namna ya Kipee Bunge la Jamuhuri ya Muungano kati ya mwaka 2008 au 2009 lilipitisha kiwango kikubwa sana cha Fedha za watanzania ili kutuliza mtikisiko wa kiuchumi kwa baadhi ya sekta za kiuchumi nchini uliosababishwa na mtikisiko kiuchumi huko ulaya na America.
Na pia wote tunajua kwamba Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali alishindwa kujiridhisha juu ya namna mabilioni mengi tu (around 45 Billion) za packahe hiyo zilizotumika.
Japo hili limeisha zungumziwa humu ndani, leo naomba kukumbusha kwamba, Ndugu wasira ni mmoja wa wanufaika wa pesa hizo isivyo halali.
Kilichofanyika ni kwamba, Kuna kiasi cha pesa hizo kilitengwa katika kupoza maumivu kwenye sekta ya kilimo cha Pamba, Wanunuzi wa Pamba kutoka kwa wakulima walipatiwa pesa hizo kwa ajiri ya kukata bima kwa pamba ambazo zingekaa store kwa muda mrefu sababu ya kukosekana kwa soko huko ulaya, kilichofanyika ni kwamba wanunuzi wengi wa pamba hawakuzitumia pesa hizo kwa matumizi yalioainishwa badara yake waliingia mikataba ya kifisadi na maadhi ya madalali wa Bima kwa pamba ambazo hazikuwa store wala hazikuwahi kununuliwa.
Moja ya Kampuni ya udalali wa Bima iliyofaidika na pesa hizo ni GATI INSURANCE BROKERS ambayo inamilikiwa na GATI ambaye ni mjane wa Marehemu Ndege.
Baada ya kubanwa na kampuni moja ya Bima juu ya mikataba hiyo, mama huyu aliwaambia maafisa wa kampuni hiyo wamtafute steven wasira atawapa cheque.
Nadhani CAG anaweza akaanzia hapa kuzitafuta zile 45 Billion
Na pia wote tunajua kwamba Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali alishindwa kujiridhisha juu ya namna mabilioni mengi tu (around 45 Billion) za packahe hiyo zilizotumika.
Japo hili limeisha zungumziwa humu ndani, leo naomba kukumbusha kwamba, Ndugu wasira ni mmoja wa wanufaika wa pesa hizo isivyo halali.
Kilichofanyika ni kwamba, Kuna kiasi cha pesa hizo kilitengwa katika kupoza maumivu kwenye sekta ya kilimo cha Pamba, Wanunuzi wa Pamba kutoka kwa wakulima walipatiwa pesa hizo kwa ajiri ya kukata bima kwa pamba ambazo zingekaa store kwa muda mrefu sababu ya kukosekana kwa soko huko ulaya, kilichofanyika ni kwamba wanunuzi wengi wa pamba hawakuzitumia pesa hizo kwa matumizi yalioainishwa badara yake waliingia mikataba ya kifisadi na maadhi ya madalali wa Bima kwa pamba ambazo hazikuwa store wala hazikuwahi kununuliwa.
Moja ya Kampuni ya udalali wa Bima iliyofaidika na pesa hizo ni GATI INSURANCE BROKERS ambayo inamilikiwa na GATI ambaye ni mjane wa Marehemu Ndege.
Baada ya kubanwa na kampuni moja ya Bima juu ya mikataba hiyo, mama huyu aliwaambia maafisa wa kampuni hiyo wamtafute steven wasira atawapa cheque.
Nadhani CAG anaweza akaanzia hapa kuzitafuta zile 45 Billion