jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Ukiona mtu mzima kama ww unamlalamikia mwanaume mwenzako km hivi ujue amekushika / amewashika pabaya. Hongera, Wassira kaza buti uliposhika hapo hapo usiachieee wanaweweseka na kutaabika watu km aliye leta thread hii na wengineo humu JF
kwa kweli ccm imeishiwa mbinu na watu! mimi nawaambieni, ukichota maji safi kwenye chombo kinachotizamika kuchafuka, itakuwia ngumu kuwashawishi watu usafi wa maji ndani ya hicho chombo!!!!! wasira? ataniambia nini chenye mfanano tofauti na anavyoonekana!!!!!