Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,504
- 8,253
Katika hali ya kusikitisha mbunge anayemaliza muda Bunda wake mzee Wassira jana saa 1:30 asubuhi alienda kujaza daftari la wadhamini baada ya kujaza aliondoka nalo ili wagombea wengine wasijaze.
Mgombea CHADEMA Esther Bulaya alifika kujaza daftari hilo na kukuta daftari hilo halipo hali iliyozua sintofahamu, mwanamama Bulaya alichanganyikiwa kwa kweli na kusababisha kuhaha!
Baada ya mambo kuwa magumu ilibidi watu wazame kwenye sheria na ndipo wakaja na style ya kumuuliza Esther kama ana vitambulisho vya wadhamini wake bahati nzuri alikuwa navyo na jahazi likawa limeokolewa.
Hii ndo ilikuwa mbinu ya mwisho kwa Wassira na kwa kuwa imeshindikana i basi tena make kwenye sanduku la kura Wassira hamuwezi Bulaya.
Katika kupiga story na mzee mmoja wa CCM hapa jimboni kuhusu haya mambo ya uchaguzi, mzee huyo alifunguka 'tulimuambia mzee Wasira apumzike amuachie huyu binti lakini akawa mbishi, sasa mambo yameharibika huyu binti kaenda upinzani na ndio wanabunda tunayependa atuongoze sote vijana na wazee, huyu binti katufanyia kazi kwa kweli, katusaidia sana wazee katika suala matibabu, hapa wa kulaumiwa ni Wassira mwenyewe kwa chama kupoteza hili jimbo'.
Mgombea CHADEMA Esther Bulaya alifika kujaza daftari hilo na kukuta daftari hilo halipo hali iliyozua sintofahamu, mwanamama Bulaya alichanganyikiwa kwa kweli na kusababisha kuhaha!
Baada ya mambo kuwa magumu ilibidi watu wazame kwenye sheria na ndipo wakaja na style ya kumuuliza Esther kama ana vitambulisho vya wadhamini wake bahati nzuri alikuwa navyo na jahazi likawa limeokolewa.
Hii ndo ilikuwa mbinu ya mwisho kwa Wassira na kwa kuwa imeshindikana i basi tena make kwenye sanduku la kura Wassira hamuwezi Bulaya.
Katika kupiga story na mzee mmoja wa CCM hapa jimboni kuhusu haya mambo ya uchaguzi, mzee huyo alifunguka 'tulimuambia mzee Wasira apumzike amuachie huyu binti lakini akawa mbishi, sasa mambo yameharibika huyu binti kaenda upinzani na ndio wanabunda tunayependa atuongoze sote vijana na wazee, huyu binti katufanyia kazi kwa kweli, katusaidia sana wazee katika suala matibabu, hapa wa kulaumiwa ni Wassira mwenyewe kwa chama kupoteza hili jimbo'.