Wassira akimbilia Mahakama ya Rufaa kumpinga Bulaya

Breaking News.....Esther Bulaya kwa kutunza heshima yake na wazazi wake ameamua ku achia ngazi baada ya kushauriana na uongozi wa CHADEMA na anateuliwa kuwa Mbunge viti maalimu.....mmoja naye anampisha Bulaya.
Chanzo.......Uwongo vijiwe vya kahawa.
 
Hahahaaa hapa ananikumbuusha mbaali Rais wa miaka hiyo Reigan R alikuwa anaaamini bado ni rais wa marekani hadi alipoaga dunia duu mwanangu kuwa uyaone ya walimwengu.
 
Ni haki yake kukata rufaa. Wacha aendelee mpaka kieleweke kwani haki haina umri.
Hii ndio tunu iliyopo ndani ya chama kwa sasa ndio maana Mzee kawashtukia mipiga dili na sifa za kinafki kapita mbaali kabisa na nyie .
 
Kwanini wenzie wasimshauri?? Mzee anadharirika sasa,umri wakulea vitukuu yeye anataka ubunge for what?
 
Daaa!!huyu mzee ni shidaaa,kaona teuzi serikalini zimeisha,juzi kichama nako hola japo alisikia sikia tetesi kupewa cheo cha pole pole kikayeyuka kakumbuka mahakamani kuna pointi alizisahau mzee wasira utafilisika kulipa gharama za kesi .wakili unayepambana nae Lissu mmm!!
 
Nia ya Wasira ni kuweka rekodi ya sheria vizuri kwa faida ya wajao. Hongera Wasira na endelea.
 
Mwenye ile video ya Makongoro JK Nyerere yenye kibwagizo cha, ".....Wasira yupo" aiweke humu tafadhari, naomba tu cause nina hamu ya kuisikiliza.
 
Kwanini Wassira asiachie vijana kuongoza maana mda wake umeisha, abaki kuwa mshauri tu.
 
 
Wakati mwingine busara ni muhimu sana, huyu Mzee anashauriwa na wakina nani? Watoto wake wanajisikiaje sijui..njaa hii ya madaraka ni aibu kuu.. Shame shame
 
Hii ndio tunu iliyopo ndani ya chama kwa sasa ndio maana Mzee kawashtukia mipiga dili na sifa za kinafki kapita mbaali kabisa na nyie .
Hujaeleweka ndugu. Hapa tunaongelea Mzee Wassira na haki yake ya kukata rufaa sioni ni jinsi gani suala la mipiga dili ya kwenye chama linaingia hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…