Wassira akimbilia Mahakama ya Rufaa kumpinga Bulaya

kwa mpunga ule aliuoweka Zitto adhalani,,,lazma mzee ashinde sana mahakani na mwishowe atapiga magoti kwa bulaya amwachie kiti
 
What about umri wa kama Kingunge ,Sumaye Lowasa na wengineo ambao wanataka kwenda ikulu kwa sasa. wana tofauti gani nao. Kama ni sheria iwe kama msumeno. Ikate pande zote. Mnadhani upinzani hatuna wazee. Mnajidanganya. Kwa hiyo tuseme kama hawafai iwe kwa wote. Acheni ujinga
Acha ujinga wewe! Lini kingunge kagombea uraisi? Hoja ni kwamba, umezeeka, umechokwa lakini kila siku unaowaita wafuasi wako kiguu na njia mahakamani kwenda kupinga matokeo!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom