Peter Simba
Senior Member
- Nov 23, 2016
- 191
- 173
kwa mpunga ule aliuoweka Zitto adhalani,,,lazma mzee ashinde sana mahakani na mwishowe atapiga magoti kwa bulaya amwachie kiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wewe! Lini kingunge kagombea uraisi? Hoja ni kwamba, umezeeka, umechokwa lakini kila siku unaowaita wafuasi wako kiguu na njia mahakamani kwenda kupinga matokeo!What about umri wa kama Kingunge ,Sumaye Lowasa na wengineo ambao wanataka kwenda ikulu kwa sasa. wana tofauti gani nao. Kama ni sheria iwe kama msumeno. Ikate pande zote. Mnadhani upinzani hatuna wazee. Mnajidanganya. Kwa hiyo tuseme kama hawafai iwe kwa wote. Acheni ujinga