MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Jamaniii hata yeye kaumbwa na Mwenyezi Mungu, aliyewapa nyinyi, ndiye kamnyima true.
Hapa hatufuati sura ni mtuw safi na utendaji wake sawa
kanyimwa nini?
Jamaniii hata yeye kaumbwa na Mwenyezi Mungu, aliyewapa nyinyi, ndiye kamnyima true.
Hapa hatufuati sura ni mtuw safi na utendaji wake sawa
kunafukununu naskia warioba ndio rais ajae kupitia ccm
Nasikia yule nguli na kipenzi cha watanzania na wanyonge atachukua SAA 7 mchana huu!!
Mbona hakuna namba za kadi ya mwanachama..Kwa sababu zisizoeleweka pasi na shaka haya majina ni feki
Hivi huyu jamaa huwa anapaka mafuta au anatumia tu kiwi nyeusi kujibrash!
Na Mimi nashangaa kuona namba za simu badala ya namba ya uanachama!! Kwahiili hawako serious..
Tutapata misaada mingi hasa kwenye hifadhi za taifa.aaaa..jamani huyu kweli ndo awe raisi wetu!!
Wassira anawashinda wote hawa
Tutapata misaada mingi hasa kwenye hifadhi za taifa.