mtahengerwa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 384
- 173
Wassira hakamatiki
Acha hizo kijana, kama unataka mzuri mkaribishe nyumbani kwako mkanywe naye kahawa. hebu kwanza tupe feedback za handsome mbali na haya maumivu yaliyopitiliza!aaaa..jamani huyu kweli ndo awe raisi wetu!!
Acha hizo kijana, kama unataka mzuri mkaribishe nyumbani kwako mkanywe naye kahawa. hebu kwanza tupe feedback za handsome mbali na haya maumivu yaliyopitiliza!
Make up imekubaliHivi huyu jamaa huwa anapaka mafuta au anatumia tu kiwi nyeusi kujibrash!
Wassira hakamatiki
aaaa..jamani huyu kweli ndo awe raisi wetu!!
Mtasema mengi ila WASIRA ndio chaguo letu
Waziri Wa kilimo Chakula na Ushirika ambae pia ni mbunge Wa Bunda tayari amepata wadhamini dakika Tano baada ya kuchukua fomu ambao wamemwini kuwa MKT Wao Wa CCM TAIFA AMBAE PIA NI AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Sio uatani aisee! Mimi mwenyewe mambo yote niliyopanga tangu asubuhi sioni kama kuna linaloenda na matokeo yake naishia hapa jf kama hivi! Nchi kipoteza mwelekeo na sisi wananchi tunapoteza mwelekeo pia.handsome amefanikiwa kutupoteza uelekeo hata hatujui tunakoelekea...ila huyu anaweza kutupoteza duniani kabisa
Magamba wanajinasibu kuwa wana wanachama milioni sita lakini naamini kifanyika sensa ya kweli basi sifuri moja inaweza kuondoka na kubakia wanachama 600,000 tu!Mbona hakuna namba za kadi ya mwanachama..Kwa sababu zisizoeleweka pasi na shaka haya majina ni feki
bora huyu kuliko kibaka lowasa,hatumtaki kwenye ccm yetu
Kuna fununua toka mitaa ya Lumumba,
Nasikia Wassira ndio Rais ajae..kupitia ccm