Wasomi watanzania: Wakili Lissu mfano wa mchumia tumbo na aibu kwa Chama Cha Mawakili

Soma tena nilichoandika. Mimi siongei mambo ya Richmond- ndio tatizo lenu mnasoma lakini hamchambui. Mimi nimeongelea misimamo yake na kile anachoamini. Penda kwa kiasi.
Misimamo? Yaani wewe ni mwanadamu wakufananisha na jiwe, unataka MTU aendelee na msimamo Fulani hata kama kaujua ukweli? MTU huyo atakuwa mpuuzi basi.
Mie nilikuwa namuona Magufuli ni kiongozi wa kuigwa hapo awali, lakini baada ya kupata historian take kutoka kwa watendaji wa wizara alizofanya kazi hasa Ujenzi sins hamu kabisa na huyo. Nitakuwa mjinga eti niendelee na msimamo wangu wa awali kwa mtu ambaye sio mwadilifu kazini na kwenye Mali za umma kama Magufuli. Pia mtu mwenye historia chafu katika maisha ya ndoa kiasi kuwa make halali wa ndoa anaona vigumu kusahau yaliyopita.
 
Mugisher

Mbona hueleweki mkuu, umesema hajashinda kesi basi usimpelekee kesi yako peleka kwa wengine

Msomi kwako ni yupi? mtu mwenye msimamo kwako ni yupi? nimetafuta neno zuri lisiwe tusi nadhani kutoeleweka ni sahihi.

Unless unataka ushabiki au chuki binafsi na Tundi Lisu.
 
Last edited by a moderator:
Wasomi watanzania wamezidi kuonyesha jinsi gani si watu wenyemisimamo bali ni wachumia tumbo. Nikimuangalia Lissu (kama mfano) ambaye alikuwana misimamo imara dhidi ya dhuluma na ufisaditangu wakati ule akifanya kazi za uwakili kwa weledi mkubwa. Lissu kesi zakezote (kama si nyingi) alikuwa akiwatetea wanyonge.

Ingawa watu hawajui hili,pamoja na uzuri wake, Lissu alikuwa hashindi sana kesi, kwa maana nyingine,hakuwa na rekodi nzuri ya kushinda kesi. Alipokuwa mwanasiasa Lissu aliendeleana msimamo wake dhabiti dhidi ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma. Wazunguwanasema alikuwa CONSISTENT siku zote. Mara ghafla Lowasa amekuja, sijui ninini Lissu kimemtokea.

Kama mtu ninayemjua binasfi, kati ya watu niliotegemea wangepingahili au kwa manufaa ya chama angekaa kimya au kujiondoa kwa heshima, Lissualikuwa mmoja wapo. Lakini kwa bahati mbaya, yeye hakufanya hivo.

Naheshimumaamuzi yake, lakini swali langu ni maamuzi haya ya kigeugeu, yakubadilikabalidilika yanaleta sura gani kwa wasomi wetu? Namchukulia Lissu kama mfano wawasomi wetu ambao hawana misimamo, hasa kwenye mambo ya msingi.

Kamamwanasiasas msomo hujiwakilishi wewe tu, unawakilisha familia yako, tabakalako, jimbo lako, kabila lako, profession yako n.k. Sasa huyu wakili msomi amejalitumbo lake na AHADI ZA KUWA WAZIRI WA SHERIA. Ndiyooo.. Lissu anategemea iwapoLowassa atashinda (MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE NA HILI) basi yeye atakuwa waziri washeria. Je mtu unaweza kuwa mbinafsi kiasi kichi?



Lissu kwa ujumbe huu, nataka nikuambie umeibaka professionyako na ni aibu kwa TLS. Wewe ni mtu mbabaishaji, hueleweki, kigeugeu na zaidi yayote huaaminiki tena. Silaha kubwa ya wakili yoyote ukiacha elimu yake, nilazima awe mtu anayeaminika. Sasa kwa haya aliyofanya Lissu anaaminika tena?

Mbona unalialia?
 
Wasomi watanzania wamezidi kuonyesha jinsi gani si watu wenyemisimamo bali ni wachumia tumbo. Nikimuangalia Lissu (kama mfano) ambaye alikuwana misimamo imara dhidi ya dhuluma na ufisaditangu wakati ule akifanya kazi za uwakili kwa weledi mkubwa. Lissu kesi zakezote (kama si nyingi) alikuwa akiwatetea wanyonge.

Ingawa watu hawajui hili,pamoja na uzuri wake, Lissu alikuwa hashindi sana kesi, kwa maana nyingine,hakuwa na rekodi nzuri ya kushinda kesi. Alipokuwa mwanasiasa Lissu aliendeleana msimamo wake dhabiti dhidi ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma. Wazunguwanasema alikuwa CONSISTENT siku zote. Mara ghafla Lowasa amekuja, sijui ninini Lissu kimemtokea.

Kama mtu ninayemjua binasfi, kati ya watu niliotegemea wangepingahili au kwa manufaa ya chama angekaa kimya au kujiondoa kwa heshima, Lissualikuwa mmoja wapo. Lakini kwa bahati mbaya, yeye hakufanya hivo.

Naheshimumaamuzi yake, lakini swali langu ni maamuzi haya ya kigeugeu, yakubadilikabalidilika yanaleta sura gani kwa wasomi wetu? Namchukulia Lissu kama mfano wawasomi wetu ambao hawana misimamo, hasa kwenye mambo ya msingi.

Kamamwanasiasas msomo hujiwakilishi wewe tu, unawakilisha familia yako, tabakalako, jimbo lako, kabila lako, profession yako n.k. Sasa huyu wakili msomi amejalitumbo lake na AHADI ZA KUWA WAZIRI WA SHERIA. Ndiyooo.. Lissu anategemea iwapoLowassa atashinda (MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE NA HILI) basi yeye atakuwa waziri washeria. Je mtu unaweza kuwa mbinafsi kiasi kichi?



Lissu kwa ujumbe huu, nataka nikuambie umeibaka professionyako na ni aibu kwa TLS. Wewe ni mtu mbabaishaji, hueleweki, kigeugeu na zaidi yayote huaaminiki tena. Silaha kubwa ya wakili yoyote ukiacha elimu yake, nilazima awe mtu anayeaminika. Sasa kwa haya aliyofanya Lissu anaaminika tena?

Mkuu ahsante kwa kuanzisha thread!
 
JK kamuomba ataje na yeye kataja sasa kosa lake ni nini!?
Mwanzoni alimhusisha EL lakini baada ya yeye mwenyewe kuonana na kamati kuu ya cdm (na Dr. Slaa akiwepo) na kuwaeleza uhusika wake kwenye Richmond na kutoka live kwenye media akisema uhusika wake ilikuwa ni maelekezo kutoka juu, ulitaka wafanyeje!?
Wewe nakufananisha na Litanzania lingine limoja ambalo nimeona linalalamika na kuilani TANSCO eti kwa nini miaka yote huduma zao ni mbovu lakini likisisitiza kuwa #hapakazitu!

Eti hapa kazi...kazi ushuzi....
 
Wasomi watanzania wamezidi kuonyesha jinsi gani si watu wenyemisimamo bali ni wachumia tumbo. Nikimuangalia Lissu (kama mfano) ambaye alikuwana misimamo imara dhidi ya dhuluma na ufisaditangu wakati ule akifanya kazi za uwakili kwa weledi mkubwa. Lissu kesi zakezote (kama si nyingi) alikuwa akiwatetea wanyonge.

Ingawa watu hawajui hili,pamoja na uzuri wake, Lissu alikuwa hashindi sana kesi, kwa maana nyingine,hakuwa na rekodi nzuri ya kushinda kesi. Alipokuwa mwanasiasa Lissu aliendeleana msimamo wake dhabiti dhidi ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma. Wazunguwanasema alikuwa CONSISTENT siku zote. Mara ghafla Lowasa amekuja, sijui ninini Lissu kimemtokea.

Kama mtu ninayemjua binasfi, kati ya watu niliotegemea wangepingahili au kwa manufaa ya chama angekaa kimya au kujiondoa kwa heshima, Lissualikuwa mmoja wapo. Lakini kwa bahati mbaya, yeye hakufanya hivo.

Naheshimumaamuzi yake, lakini swali langu ni maamuzi haya ya kigeugeu, yakubadilikabalidilika yanaleta sura gani kwa wasomi wetu? Namchukulia Lissu kama mfano wawasomi wetu ambao hawana misimamo, hasa kwenye mambo ya msingi.

Kamamwanasiasas msomo hujiwakilishi wewe tu, unawakilisha familia yako, tabakalako, jimbo lako, kabila lako, profession yako n.k. Sasa huyu wakili msomi amejalitumbo lake na AHADI ZA KUWA WAZIRI WA SHERIA. Ndiyooo.. Lissu anategemea iwapoLowassa atashinda (MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE NA HILI) basi yeye atakuwa waziri washeria. Je mtu unaweza kuwa mbinafsi kiasi kichi?



Lissu kwa ujumbe huu, nataka nikuambie umeibaka professionyako na ni aibu kwa TLS. Wewe ni mtu mbabaishaji, hueleweki, kigeugeu na zaidi yayote huaaminiki tena. Silaha kubwa ya wakili yoyote ukiacha elimu yake, nilazima awe mtu anayeaminika. Sasa kwa haya aliyofanya Lissu anaaminika tena?

Umesema wasomi wamesema,alafu bila kujua unasema uki,wewe ni kilaza wa vilaza
 
Mugisher

Mbona hueleweki mkuu, umesema hajashinda kesi basi usimpelekee kesi yako peleka kwa wengine

Msomi kwako ni yupi? mtu mwenye msimamo kwako ni yupi? nimetafuta neno zuri lisiwe tusi nadhani kutoeleweka ni sahihi.

Unless unataka ushabiki au chuki binafsi na Tundi Lisu.

Ana mimba changa huyo na kwa msaada inabidi atafutiwe malimau au embe changa
 
Last edited by a moderator:
Misimamo? Yaani wewe ni mwanadamu wakufananisha na jiwe, unataka MTU aendelee na msimamo Fulani hata kama kaujua ukweli? MTU huyo atakuwa mpuuzi basi.
Mie nilikuwa namuona Magufuli ni kiongozi wa kuigwa hapo awali, lakini baada ya kupata historian take kutoka kwa watendaji wa wizara alizofanya kazi hasa Ujenzi sins hamu kabisa na huyo. Nitakuwa mjinga eti niendelee na msimamo wangu wa awali kwa mtu ambaye sio mwadilifu kazini na kwenye Mali za umma kama Magufuli. Pia mtu mwenye historia chafu katika maisha ya ndoa kiasi kuwa make halali wa ndoa anaona vigumu kusahau yaliyopita.

Daaaa kweli kama magufuri ndiyo yuko hivi kura yangu simpi kabisa,asante sana mkuu kwa kunifahamisha ufisadi wa pombe
 
Back
Top Bottom