PreGE2025 Wasomi wasema hawamtaki Martha Karua nchini ataleta machafuko

PreGE2025 Wasomi wasema hawamtaki Martha Karua nchini ataleta machafuko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Hana hadhi ya kuitwa msomi, na hiyo ndi strategy ya ccm kukabilana na yanayoendelea? 😂😂
 
Wasomi gani hao waliokimbia huko mitandaoni na kuwaachia Wakenya wakimpiga spana Mama yao wametimua vumbi 🤣
 
Sio kila aliyopo chuo ni msomi, kwa mifumo yetu ya siku hizi wengine wanajikuta wamefika tu huko vyuoni
 
hata kama ni uchafu huwezi kumkuta chawa kwenye kidonda, hebu msiidhalilishe shule.
 
Hawa ni wasomi?...hawa kima ni form six tu...Huna degree unajiita msomi?..
Kwanza katika hilo kundi kuna mtoto wa kiongozi yoyote?..
Hao wote ni watoto wa mahohehahe.......
 
Neno wasomi limekosa maana siku hizi! Ni mikusanyiko ya wajinga wenye elimu ya vyuo.
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Huyo msichana ni wa darasa la ngapi?
 
Msomi ni kiswahili chenye maana ya aliesoma
 
Uzuri kuwa mbibi ni baraka sana, kuwa kajitunza mpaka kafika hapo. Zaidi kila mwenye uhai na akafanikiwa kuishi muda mrefu ataufikia uzee. Huyu na sura yake iliyozeeka kabla, mpaka akifika huo ubibi atatisha sana.

Watu wanaongea kwaajili ya kumfurahisha mtu/kikundi. Hawajali maslahi yao. Ni unafiki mkubwa sana, leo unapigania pesa kadhaa inaisha. Badala ya kupigania maisha mazuri hadi kwa wajukuu zako, uko umfurahishe binadamu. Hii kitu ilishanishinda.

Unampigania mtu, anayepigania utajiri wake, utawala wake, wewe huna kitu na unaanza kuita watu wabibi, amuulize Wema, alikuwa akimuita Zari mbibi. Hatimaye sasa Wema naye anaonekana utu uzima umegonga hodi. Anathubutu kuita watu wazee tena? Akijiangalia yeye na wao wako sawa sasa.
 
Nao ni watanzania wana haki ya kutoa maoni yao.

Labda kama sielewi maana ya demokrasia tunayoipigania!!!
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Wasomi matako chupi mkononi. Vichwa vyeupeeeee ndio maana wasomi wa bongo hawana soko nje ni viazi haswaa, huyo anaye jiita msomi ndio kwanza anaitafuta degree ya kwanza eti naye msomi
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Daah maskini
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Wasisahahu kwamba safari ya maisha kwao bado ni ndefu sana kungilia siasa kichwa kichwa bila tafakari ni kujitafutia mitihan migumu mbeleni
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
TZ, hakuna wasomi, kuna, ngumbaru tu waliojazana, vyyoni, hawa ni njaa tu inawasumbua, jinsi, kitaa kulivyo kuchungu, mtoto wa kiume raini raini kama hawa,kama hapakatwi, lazima, awe chawa
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Wasomi njaa Hawa...
 
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
Ndiyo aina hii ya wasomi wetu!
Matawi ya siasa vyuo vikuu si yalishapigwa tanchi?

Hao kunguni wenye sura ya chawa wanatoka wapi tena?

Sikia enyi wasomi uchwara, hakuna amani penye dhulma, hakuna utulivu kwenye mauaji ya kuviziana.

Tafuteni kwanza mwarobaini wa kutibu tatizo la utekwaji na mauaji ya kiholela kwa raia wasio na hatia ndiyo muanze uchawa wenu.
 
Wasomi vilaza hao, GPA ZA KUPEWA TU,hakuna msomi mpumbavu
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile

===
Katika Kongamano la wanavyuo mkoa wa Dar es Salaam wameungana na kudai Wakili kutoka Kenya Martha Karua ni mmoja aliyesababisha machafuko nchini kenya hvyo hawamtaki kuja nchinj Tanzania kuleta machafuko.

"Kuna mwanamama, sijui niseme mbibi wa huko nchi ya jirani anaitwa Martha karua. Huyu bibi au huyu mama alisababisha vifo vya watu wengi kwenye nchi yao ya Kenya 2007 kwenye uchaguzi. Leo hii amesikia ajenda ambayo mimi na mwenzangu tunaiita ajenda mpeche mpeche isiyokuwa na maana ya No reform No election, ametimka kutoka kwake anataka kuja Tanzania kutuchochea sisis Watanzania. Sasa sisi tunamwambia mama yetu Martha Karua abaki kwake, ya Tanzania ni ya Tanzania. Sisi kama wasomi wa Tanzania tunapenda nchi yetu tunapena amani ya nchi yetu"
View attachment 3345588
O
 
Back
Top Bottom