chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Kuna jambo gani linalostahili kupongezwa na wasomi kwenye taifa tajiri lililojaa watu maskini?!? Nitajie jambo moja tu braza kaka.wasomi wa bongo bwana ni mishangao wenyewe kila kitu wanapinga tu. mmmh kweli kazi ipo
Kwaani kujua kwamba wananchi wanahitaji maji au dawa hosp nayo inahitaji ilani?tuache siasa la sivyo tukubali kubaki hapahapa hadi YESU arudiNaomba kuuliza ni nani anayeoongoza serikali? watumishi wa serikali wanafanya kazi ili kutimiza Ilani ya chama gani? watumishi waliopo katika wizara waziri ni wa chama gani na mwanachama wa chama gani?
Hata JPM atakushangaa?Hotoba yake JPM nzuri wala hajasema watumishi lazima wawe CCM hao wasomi hawajamuelewa wanafanya analysis uku wakiwa na lengo la kukosoa wala sio kubonyeza isitoshe wasomi hao ni wapinzani unategemea nini situ wapinzani ni wapinzani uchwara.Kuhusu kuwatishia wanaomkosoa JPM Kwamba atawafukuza MH Zito ujamuelewa JPM kama umemuelewa unawadanganya wananchi,JPM alisema wasaliti ni wale wanaokua mchana CCM na usiku UKAWA akimanisha wanakwamisha chama kisisonge mbele kama wewe walivokutuumu CDM kwamba unawasaliti kuna majimbo uliwauzia CCM JPM hao wanamna hiyo amesema atawatumbua
Wewe ndio unaona wasomi waliobobe?Wasomi na wadau mbalimbali wa siasa wameponda hotuba ya Magufuli aliyoitoa Dodoma alipokuwa akikabidhiwa uenyekiti na Jakaya Kikwete
Mojawapo ya wasomi hao ni lecturer wa chuo kikuu cha Ruaha (RUCU) Prof. Gaudence Mpangala akisema kuwa haikuwa sahihi kwa Magufuli kutangaza Dodoma kuwa watumishi wote wa umma lazima wawe chini ya CCM alisema ''Watumishi wa umma hawapaswi kuwa chini ya chama cha siasa hata kama ni chama tawala, Magufuli hakuwa sahihi, CCM inapaswa kutimiza ilani yake lakini sio kwa njia ya kuwaingilia watumishi wa umma''
Naye Profesa Wa UDSM Kitila Mumbo amesema anashangazwa na kitendo cha mwenyekiti huyo wa chama kupiga marufuku mikutano ya siasa wakati ndio inayowapakuonekana na kusikika na wananchi
Naye mbunge wa Iringa mjini Peter Msigwa amesema jukumu la watumishi wa umma wanasimamiwa na bunge kwa upande wa serikali kuu na madiwani kwa upande wa serikali za mitaa, amesema wanatarajia kuwa ataruhusu mikutano ya siasa ambayo ameipiga marufuku
Naye kiongozi wa ACT Zitto Kabwe amesema ameshangazwa sana na kitendo chake cha kuwatishia kuwafukuza wanachama wanaokikosoa chama
Naye mchambuzi wa siasa kutoka CUF Julius Mtatiro amesema japo amefurahishwa na hotuba hiyo kugusia mambo muhimu kama kuondoa rushwa kwenye chama na kuhamishia makao makuu Dodoma japo kuna mengine hayakuzungumziwa kwa kina lakini ameponda kitendo cha Magufuli kusema kuwa wanachama wa CCM ndio watakua ma boss wa watumishi wa umma
wasomi wa bongo bwana ni mishangao wenyewe kila kitu wanapinga tu. mmmh kweli kazi ipo
Kwaani kujua kwamba wananchi wanahitaji maji au dawa hosp nayo inahitaji ilani?tuache siasa la sivyo tukubali kubaki hapahapa hadi YESU arudi
Sasa wewe unajilinganisha na hao? kuandika Kiswahili sanifu mara nyingi kwako ni shida ndio ujilinganishe na hao manguli wa siasa za Tanzania!Mchungaji Peter Msigwa, Zitto Kabwe na Julius Mtatiro ni wasomi? Hahahahahaaaaaaa
Wasomi wa bongo bwana ni mishangao wenyewe kila kitu wanapinga tu. mmmh kweli kazi ipo.
Hotoba yake JPM nzuri wala hajasema watumishi lazima wawe CCM hao wasomi hawajamuelewa wanafanya analysis uku wakiwa na lengo la kukosoa wala sio kubonyeza isitoshe wasomi hao ni wapinzani unategemea nini situ wapinzani ni wapinzani uchwara.
Kuhusu kuwatishia wanaomkosoa JPM Kwamba atawafukuza MH Zito ujamuelewa JPM kama umemuelewa unawadanganya wananchi,JPM alisema wasaliti ni wale wanaokua mchana CCM na usiku UKAWA akimanisha wanakwamisha chama kisisonge mbele kama wewe walivokutuumu CDM kwamba unawasaliti kuna majimbo uliwauzia CCM JPM hao wanamna hiyo amesema atawatumbua