Nitatangaza nimesamehewa Deni. La jumla ya Tsh 8,000,000/= tarehe 25 October asubuhi kabisa kwa kumpa KURA YANGU LOWASA.
CCM wasitudanganye eti lowasa hawezi fanya wakati wanapiga mabilioni kila siku, UTAJIRI wa riz one waweza somesha Darasa la kwanza mpk la nne kwa miaka mi5, ni wakati wakurpoza machungu kwa KODI zetu wanazoficha Ulaya nakuita VIJISENTI.
LOWASA NEEMA INAKUJA TANZANIA.