Magufuri sijaona ahadi inayonihusu sasa nitaenda kupigia atanisaidiaje' ,
Wasomi tushaamua kura zetu tutampa lowasa.
Ulitaka tutongozwe kwa push ups? Lowasa mabadiliko.....
lowassa ni nomaaa kweli huyu ni chaguo la mungu......namkubali maana hata siasa za kimataifa anaonekana kua safi....kura yangu na familia kwa ujumla ni yake,,,,,
Asante rais wa awamu ya tano.Bodi ya mikopo ni wizi mtupu watafute kazi ya kufanya baada ya kuapishwa
Duh! kweli watu mna mahaba na fisadi Lowasa!
Una laana weee. Norway, libya ya ghadafi,etc ni baadhi tu ya nchi zinazotoa elimu bure based on oil exports only. Tanzania ina kila kitu, isipokuwa uongozu makini tu ndio umekosekana. Lowasa na UKAWA wanaonyesha kuwa the impossible is possible so myie mlioshindwa pisheni wapite. KelbuTanzania haina uwezo wa kutoa elimu bure! Huko ni kujidanganya tu! wasitake kuturudisha kule tulikotoka, shule yenye watoto 500 wanaohitimu wanafaulu watoto 30!
Hayo n mambo ya ujima tushapita huko, tuko kwenye karne ya nchi inavyuo vikuu 50, graduate 200,000 -300,000 kwa mwaka utawapaje elimu bora tena ya bure
Siasa ya ujamaa ishashindwa dunian kote, kwa ss mwenye uwezo asome shule nzuri ya private, huna uwezo komaa uende shule nzuri ya serikali ukishindwa uende shule za kawaida
Labda miungu yenu ila fahamu kwamba Chaguo sahihi la Mungu na la Watanzania wote ni Magufuli. Kura yangu na kura za ukoo wangu wote ni kwa Magufuli.
Huyu jamaa watu wa HAZINA,BOT PPF,NSSF,na HESLB watamcheka ka katuni huenda hajui ata cashflow na thamani ya fedha(iliyokopwa) labda kama atauza gesi na mbuga kwa rafiki zake! ambapo bado ni hasara kwetu!,lipa mkopo wewe log in economics_no free lunch@peoplefacetradeoff.budget deficit kwenye medula uone anayokudanganyeni kisa emotionally you bear the cost of the past money to blow ikiwepo boom boom hahaha
Wasomi wanajitambua kura zao ni kwa Magufuli. Kwa hiyo ww unaposema kwamba wasomi mmesha amua nawashangaa lbd kama ni wasomi wa kughushi vyeti.
Una laana weee. Norway, libya ya ghadafi,etc ni baadhi tu ya nchi zinazotoa elimu bure based on oil exports only. Tanzania ina kila kitu, isipokuwa uongozu makini tu ndio umekosekana. Lowasa na UKAWA wanaonyesha kuwa the impossible is possible so myie mlioshindwa pisheni wapite. Kelbu