Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,873
- 7,143
Maprofesa wasomi wetu kwanini mnalialia.
Nime wasikia ma pro, wakikosoa baadhi ya miradi iliyo anzishwa na hayati Magufuli.
Wengine wanaponda bwawa la umeme wakisema lakizamani, wengine wanaponda, manunuzi ya ndege nk, nk, ilimradi wasikike.
Swalihapa mbona wakati rais Magufuli alipokuwa hai hawakuongea mambo yote haya??
Tatizo nini uoga? yani walikuwa wanamuogopa rais? Yani mtu na elimu yako unaogopa kukosoa serikali sasa nani atakosoa.
Mlikuwa mnaogopa nini, kufungwa jela amavipi.
Kama ndiohivyo manayake hamfai hata kuwa wajumbe wa nyumba kumi maana sifa ya kiongozi kwanza hatakiwikuwa muoga.
Alafu hawahawa waoga utawasikia wanataka uongozi,narudia tena, sifaya kiongozi kwanza hatakiwikuwa muoga.
Duniani pote hakuna shujaa muoga. Magu anaonekana shujaa kwasababu alikuwa mtu wa maamuzi na aliyasimamia maamuziyake.
Wazalendo wenye akili sasa tunaona matokeo yake.
Tundu lisu amepata umaarufu kwasababu hakuwa muoga alisimama na kupinga hadharani yalealiyoamini yeye kwamba ni makosa.
Sasa nyinyi maprofesa mlikaa kimya mudawote, leo mtu amekufa etindio mnaamka na kuanza kukosoa kosoa kilakitu mnatia aibusana nawachukia.
Nime wasikia ma pro, wakikosoa baadhi ya miradi iliyo anzishwa na hayati Magufuli.
Wengine wanaponda bwawa la umeme wakisema lakizamani, wengine wanaponda, manunuzi ya ndege nk, nk, ilimradi wasikike.
Swalihapa mbona wakati rais Magufuli alipokuwa hai hawakuongea mambo yote haya??
Tatizo nini uoga? yani walikuwa wanamuogopa rais? Yani mtu na elimu yako unaogopa kukosoa serikali sasa nani atakosoa.
Mlikuwa mnaogopa nini, kufungwa jela amavipi.
Kama ndiohivyo manayake hamfai hata kuwa wajumbe wa nyumba kumi maana sifa ya kiongozi kwanza hatakiwikuwa muoga.
Alafu hawahawa waoga utawasikia wanataka uongozi,narudia tena, sifaya kiongozi kwanza hatakiwikuwa muoga.
Duniani pote hakuna shujaa muoga. Magu anaonekana shujaa kwasababu alikuwa mtu wa maamuzi na aliyasimamia maamuziyake.
Wazalendo wenye akili sasa tunaona matokeo yake.
Tundu lisu amepata umaarufu kwasababu hakuwa muoga alisimama na kupinga hadharani yalealiyoamini yeye kwamba ni makosa.
Sasa nyinyi maprofesa mlikaa kimya mudawote, leo mtu amekufa etindio mnaamka na kuanza kukosoa kosoa kilakitu mnatia aibusana nawachukia.