Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Nimekuwa nikimsikiza huyu mzee kwa miaka ya karibuni na kujiuliza hivi mbona amebaki kuwa mzee wa mipasho na hoja nyepesi nyepesi? hivi wanaotuma akasemee mambo mazito wanajisikiaje wanapomsikiliza?
Mfano juzi katika dakika 45 wiki hii nilimsikia akimwaga pointi zifuatazo kwa kujiamini:
1. Wanasema movement for change hawasemi which change kwa sababu hata kurudi nyuma ni change..
2. Kujibu swali juu ya kuzomewa anasema ..wakitokea katika mkutano wa watu 6000 wakitokea walevi watatu wanne wakaanza kupiga kelele unasema nimezomewa kwani mimi ndiyo nimewanywesha?
3. CDM waongo wanasema wanachama wa CCM 10,000 wamehamia CDM ina maana hatuna tena wanachama Arusha (hapa una maana wahama lakini bado hawajaisha?)
Najiuliza Je, hii ni ishara ya CCM kukosa msemaji mahiri au ni kukosekana hoja?
Mfano juzi katika dakika 45 wiki hii nilimsikia akimwaga pointi zifuatazo kwa kujiamini:
1. Wanasema movement for change hawasemi which change kwa sababu hata kurudi nyuma ni change..
2. Kujibu swali juu ya kuzomewa anasema ..wakitokea katika mkutano wa watu 6000 wakitokea walevi watatu wanne wakaanza kupiga kelele unasema nimezomewa kwani mimi ndiyo nimewanywesha?
3. CDM waongo wanasema wanachama wa CCM 10,000 wamehamia CDM ina maana hatuna tena wanachama Arusha (hapa una maana wahama lakini bado hawajaisha?)
Najiuliza Je, hii ni ishara ya CCM kukosa msemaji mahiri au ni kukosekana hoja?