Nimeweza kuthibitisha hizi habari toka Bunda on the ground. Hivi punde, Tume ya Uchaguzi Jimbo la Bunda na hakuna dispute zozote kama ambavyo imevumishwa JF
Duuh hii imenisikitisha sana, mfano ungine ni vile jimbo la Arusha mjini isivyojulikana ukweli ulipo. Mara Lema anakataa kusign mara Batilda, ukiwa nje ya nchi na unategemea hili jamvi "I think you need to wait until the final results are announced"