Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Bw. Stephen Wasira amewasili Mkoa wa Mbeya kwa ziara ya siku nne kuanzia Machi 17-20, huku akitoa maagizo mazito kwa halmashauri zote nchini kuacha mara moja kutoza fedha wanawake wajawazito wanaofika kwenye vituo vya afya kujifungua.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Bw. Wasira amelazimika kutoa maagizo hayo baada ya kufika eneo la mji mdogo Mlowo, Mkoa wa Songwe na kupata wasaa wa kusikiliza kero, ndipo mmoja wa wananchi akajitokeza kulalamikia gharama kubwa aliyotozwa alipofika kituo cha afya kujifungua.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Bw. Wasira amelazimika kutoa maagizo hayo baada ya kufika eneo la mji mdogo Mlowo, Mkoa wa Songwe na kupata wasaa wa kusikiliza kero, ndipo mmoja wa wananchi akajitokeza kulalamikia gharama kubwa aliyotozwa alipofika kituo cha afya kujifungua.