Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,892
Hameni nchiNi huzuni sana mkuu.
Hameni nchiNi huzuni sana mkuu.
Yes kwa kila kitu, msimu uliopita Yanga walipewa ndege kwenda Algeria wakati huo Simba walijilipia kwenda Morocco,Hata sielewi, hivi lile basi la washabiki wa Yanga linalochanja mbuga huko zambia kuelekea kwa Mandela limegharamikiwa na serikali?
Wahame wenye timu zao wanaosababisha huzuni.Hameni nchi
Ulioa yule mshangaz wako iliyezaa nae??Mpaka hapa mbona tulishajigawa kimakundi.
Kuna wale wenye automatic generator majumbani mwao, alafu kuna kina sie ambao umeme ukirudi tunapiga kelele kwa pamoja "Uooooo"
Hapana mkuu
Haya mwisho imeharibu hata kile kidogo ulichokuwa unacho.Habari Jr
Hoja ni fupi mno simba sc wanasafiri kesho alafujiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.
Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.
Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.
Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Huwa nakiona Una akili kumbe huku kwenye Mpira wote mnageuka hamnazo.Hata mimi nimeona hili
Yanga walienda Algeria kucheza mechi gani na Simba walienda Morocco kucheza mechi gani? usiwe unaongea bila kukamilisha sentenceYes kwa kila kitu, msimu uliopita Yanga walipewa ndege kwenda Algeria wakati huo Simba walijilipia kwenda Morocco,
Yanga walipelekwa Malawi.
Msimu uliopita kwenye michuano ya kimataifa mashabiki wa Yanga walikuwa wakinunuliwa tickets za mafungu na viongozi wa serikali ilihali Simba waliendelea na utaratibu wao wa kawaida.
Hawajui kuwa Simba ni half ya nchi na ndiyo inayobeba watu wengi ambao ni antagonistic wa mfumo tangu friends of Simba ?
Ukweli mtupu, ingekuwa ni wao wala kusengekuwa na maneno mengi.Inafikirisha kuona watu wanaojisifia eti wao ni wenye nchi na siyo wananchi kama Yanga wakianza kulia lia, kisa tu mashabiki wa timu ya upande wa pili wamegharamiwa na serikali baada ya kujiongeza na kuomba msaada!
Na nyinyi si mngeomba kama walivyofanya wenzenu! Au mlitaka kusaidiwa pasipo kuomba? Acheni kulilia vitu vidogo aisee! Mjue nyinyi ni watu wazima!!
Nimeshangaa fikra zako hazijakuonyesha unaandika utumbo mbele ya Great Thinkers. Serikali haijaweka upendeleo wowote ni viongozi wenu hawakua makini baada ya serikali kusema inasubiri timu ziseme zinataka serikali iwasaidie wapi!! Mtaisingizia serikali inapendelea ila kiukweli ni umakini na ufasaha wa viongozi wa Yanga ndio mnaona serikali inafanya upendeleoFikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030