hivi kwa nini wadau wote tunaotafuta kazi tusiwe na sauti moja? kwa kuwa na chama chetu tukakisajiri .ambapo tutakuwa tunapanga mikakati mbalimbali.mambo mengi na mengi zaidi?onesheni tuanze kazi.hizi habari za tume ya ajira na mfano wa hivo tunaweza kuvimiliki na wakawa wanatii matakwa yetu sio kama hivi wanavyofanya ishu zao kiujanjaujanja tuu. NAWASILISHA.