Wasiojulikana Wasogee Waone!

Wasiojulikana Wasogee Waone!

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,102
FB_IMG_1539333000396.jpg
 
Kwa sasa wenye nazo bongo inabidi waishi kwa timing maana hawatakiwi, inabidi watu wasijue hata unatumia gari gani, ile gari unaipa jina lako kwenye plate number naona kama kujichongea kwa sasa
 
Snaipa anatandika wote hao chap unajikuta umesimama peke yako walinzi wote chali,hata nguvu ya kukimbia hupati wanakuja kukuokota kama kuku mwenye mdondo
 
Unafikiri hua wanakuja kupigana mieleka?

Ikiunguruma AK47 hapo mabaunsa wanageuka kua Usain Bolt. Ndani ya dakika mbili uko kwenye buti ya gari unaelekea Mabwepande!

Usidanganywe na hiyo minyama!
 
Snaipa anatandika wote hao chap unajikuta umesimama peke yako walinzi wote chali,hata nguvu ya kukimbia hupati wanakuja kukuokota kama kuku mwenye mdondo
Wasiojulikana mataira tu hawana sniper
Kama walikua 4 tena vijana wakapigwa na mzee miaka 58
 
Back
Top Bottom