Kwa ushahidi unaotolewa kwenye kesi ya kuchonga dhidi ya Mbowe, ni dhahiri waliokuwa wakitajwa kuwa ni watu wasiojulikana, sasa wameanza kujulikana.
Hawa ndiyo walikuwa wanawateka watu, wanakupeleka kokote wanakotaka bila ya jina lako kuwekwa kwenye kumbukumbu yoyote.
Kwa kuwa sasa tayari wanajulikana, hakuna namna ya kuchukua hatua dhidi yao ili walipie ushetani wao?
Hawa ndiyo walikuwa wanawateka watu, wanakupeleka kokote wanakotaka bila ya jina lako kuwekwa kwenye kumbukumbu yoyote.
Kwa kuwa sasa tayari wanajulikana, hakuna namna ya kuchukua hatua dhidi yao ili walipie ushetani wao?