Wasio na kazi ajira hipo hapa

Wasio na kazi ajira hipo hapa

Ivi wabongo tunakwama wapi uvi kweli ndo unachofikiri hcho??
Igweeeeeeeee
Salamu tena wana JF

Jumatatu tulivu sana hiii nikiwa maeneo ya moshi napunga upepo huku naperuzi JF

Nawaza tuu watz hatujaona fursa au mbona mlima hupo hapa na unatafuta wafanyakazi wenye nguvu zao

Mlima Kilimanjaro

Njooni msiona na kazi mfanye kazi ya kubeba mzigo kazi tamu sana hii watu wanajenga wanasomesha na wanakula kupitia mlima Kilimanjaro nadhani wiki moja unapokea 200k+

Kwanini tunalalamika hatuna ajira sasa

Mimi nikimaliza six nitakuja kuchuma mtaji wangu kwenye huu mlima

Vigezo ni akili timamu na afya nzuri huhitaji cheti hata cha la saba B huitaji

Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................
 
Igweeeeeeeee
Salamu tena wana JF

Jumatatu tulivu sana hiii nikiwa maeneo ya moshi napunga upepo huku naperuzi JF

Nawaza tuu watz hatujaona fursa au mbona mlima hupo hapa na unatafuta wafanyakazi wenye nguvu zao

Mlima Kilimanjaro

Njooni msiona na kazi mfanye kazi ya kubeba mzigo kazi tamu sana hii watu wanajenga wanasomesha na wanakula kupitia mlima Kilimanjaro nadhani wiki moja unapokea 200k+

Kwanini tunalalamika hatuna ajira sasa

Mimi nikimaliza six nitakuja kuchuma mtaji wangu kwenye huu mlima

Vigezo ni akili timamu na afya nzuri huhitaji cheti hata cha la saba B huitaji

Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................
Unapojikakamua kufikia sehemu fulani huwa inategemea na uwezo wa kufikiri na shida zinazokuzunguka pia watu hawafanani kwenye kutafuta kila mtu ana njia yake anayoiamini kwenye kutafuta iwe rahisi au iwe ngumu...
 
Igweeeeeeeee
Salamu tena wana JF

Jumatatu tulivu sana hiii nikiwa maeneo ya moshi napunga upepo huku naperuzi JF

Nawaza tuu watz hatujaona fursa au mbona mlima hupo hapa na unatafuta wafanyakazi wenye nguvu zao

Mlima Kilimanjaro

Njooni msiona na kazi mfanye kazi ya kubeba mzigo kazi tamu sana hii watu wanajenga wanasomesha na wanakula kupitia mlima Kilimanjaro nadhani wiki moja unapokea 200k+

Kwanini tunalalamika hatuna ajira sasa

Mimi nikimaliza six nitakuja kuchuma mtaji wangu kwenye huu mlima

Vigezo ni akili timamu na afya nzuri huhitaji cheti hata cha la saba B huitaji

Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................
Asante kwa kutujuza, em nieleweshe hio mizigo inakua ni ya watalii au ni vip, na ajira hio inatoka serikalin au kwa mtu binafsi!?.
 
Dogo umeandika as if upo kwenye game unapambana kumbe bado umekalia bench la serikali ukiwa na ndoto za kupata 200K per week,siyo mbaya kuota ila subiri utakaporudi kitaa ukutane na show linaoendelea huku ndo utajuwa kwamba hiyo fursa unayoiona hapo haina uhalisia.
 
Dogo umeandika as if upo kwenye game unapambana kumbe bado umekalia bench la serikali ukiwa na ndoto za kupata 200K per week,siyo mbaya kuota ila subiri utakaporudi kitaa ukutane na show linaoendelea huku ndo utajuwa kwamba hiyo fursa unayoiona hapo haina uhalisia.
Sawa mkuu
 
Dogo umeandika as if upo kwenye game unapambana kumbe bado umekalia bench la serikali ukiwa na ndoto za kupata 200K per week,siyo mbaya kuota ila subiri utakaporudi kitaa ukutane na show linaoendelea huku ndo utajuwa kwamba hiyo fursa unayoiona hapo haina uhalisia.
Kwahiyo na hii ni siasa mkuu
 
Write your reply...Unafikiri ni kazi rahisi rahisi karibu dimbani.
 
Sawa "Mgumu" mtarajiwa, ila nakwambia hivi kuipata hiyo kazi napo kazi, na ujipange sana 20Kg kichwani plus nyongeza za ajabu ajabu. Halafu nani alikwambia utalipwa 200K??? Msela au kijiweni?

Ila chonde chonde mwili ukigoma usiulazimishe watakushusha chini na kiberenge ukiwa maiti kama sio umevunjika moja ya viungo vyako.
 
Nimesoma vizuri tu nilichoambulia ni Mlima Kilimanjaro kubeba mizigo sijajua mizigo gani!!
Nieleweshe fafanua vizuri mkuu.

Unaweza beba 1. Chakula 2. Gesi 3. Begi la mgeni 4. Hema 5. Kitu chochote kingine. Mwisho Kg 20 ila unaweza bebeshwa ata Kg 28/32
 
Back
Top Bottom