Mie ni muislam naomba mwenyezi mungu anisamehe.... ila mtume kuoa mtoto wa miaka 9 ilikuwa ni tamaa binafsi tu.Mtume alioa mtoto WA miaka 9
Kuna mambo mtu mwenye akili timamu hawezi kuuliza....Binafsi sana hii
Umejuaje ni tamaa...Mie ni muislam naomba mwenyezi mungu anisamehe.... ila mtume kuoa mtoto wa miaka 9 ilikuwa ni tamaa binafsi tu.
Yakhe sharia inaruhusu hata miaka 12 sembuse 18 years.Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?
View attachment 2223348
Aliyeolewa akiwa mdogo ni Samia siyo mheshimiwa Samia. Hapo la kuuliza ni alisoma vipi huku ndoa had kufika chuo kikuu 😁Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?
View attachment 2223348
Ndio hivo kama sisi wamiaka ya 90 kushuka tulikuwa tunamaliza na hiyo miaka je hao wa miaka hiyo 60 ilikuwaje?Samia kasoma elimu ya watu wazima tu vyeti vingine kafoge, ndio maana anatetea sana waliofoge vyeti kama yeyeYaani na wewe uliyesoma miaka ya 90 unajiita wa zamani ?
Wale wa 60s nao unataka wajiitaje ?
Wote hao unaowataja hawakufika hata secondary, huyu aliacha ndoa akaenda kupiga kitabu ama? 😁Bibi yangu aliolewa akiwa na miaka 15.
Mama yangu kaolewa akiwa na miaka 18
Wakikosa cha kuandika huingilia faragha za watu, hii ni ya facebook sio JF.Binafsi sana hii
Usichokielewa ni kwamba miaka hiyo Zanzibar walikuwa wanaruhusu wanafunzi kuoa na kuolewa na huku wanaendelea na masomo. Walikuja kuzuia 1984, waliokuwa kwenye ndoa wakapoteza shule.Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.
Ko yalikuwa maagizo ya Allah kuuonesha ulimwengu kuwa hata binti wa miaka 9 oeni tu. 😁Umejuaje ni tamaa...
Mtume muamadi nae kazingua,ubakaji watoto huo lakini.Mtume alioa mtoto WA miaka 9
😁😁 ndo maana suala la aliuejifungua kurudi skonga lilipita kwa kishindo. 😂😂Usichokielewa ni kwamba miaka hiyo Zanzibar walikuwa wanaruhusu wanafunzi kuoa na kuolewa na huku wanaendelea na masomo. Walikuja kuzuia 1984.
Wote hao unaowataja hawakufika hata secondary, huyu aliacha ndoa akaenda kupiga kitabu ama?![]()