Wasifu: Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally

Kwa hoja hii akili zako zinakuaminisha kuwa msimamo wako haujulukani
Na hili ndilo tatizo linalo wasumbua nyinyu Mataga! Yaani mnadhani kila anayeichukia ccm au mwenyekiti wenu kutokana na utawala wa hovyo, basi ni lazima awe Chadema! Poleni sana.
 
Ukimaliza drs la 7 na miaka 12 unakuwa umeanza la kwanza na miaka 3? We kweli kiazi. Halafu eti na wewe unajua kuandika na kuhesabu!
we bibi mwenye nyege iyo3 nimekosea kuandika!napo miaka5 uwez kuanza darasa la kwanza
 
we bibi mwenye nyege iyo3 nimekosea kuandika!napo miaka5 uwez kuanza darasa la kwanza
Bado we ni kiazi kweli. Ukimaliza la saba na miaka 12 unakuwa umeanza la kwanza na miaka 5? Kwa hesabu za wapi? Halafu na wewe umeenda while?
 
Ukimaliza drs la 7 na miaka 12 unakuwa umeanza la kwanza na miaka 3? We kweli kiazi. Halafu eti na wewe unajua kuandika na kuhesabu!
hajui huyo hesabu anayemaliza la saba akiwa na miaja 12 la kwanza huanza akiwa na miaka 6
 
Age ni Numbers tu pia ana achievement kubwa ambayo wewe hutakaa umfikie
Wewe umefiri vizuri sana.Huyo amefanikiwa kwa haraka sana.Na pia inaonyesha huyu jamaa amekulia mazingira magumu utotoni na pia bright sana.
 
Kati ya wanawake wenye uono wa mbali ni pamoja na mke wa mh.Bashiru. Mwanamke huyo aliolewa na mheshimiwa ambaye alikuwa hana kazi kwa kipindi hicho wakati mwanamke akiwa ni mwalimu shule ya msingi Kanazi. Nafikiri mwanamke ana mchango mkubwa sana kwa mheshimiwa.
 
Sababu ya kuchelewa kuanza shule inawezekana mazingira ya Kijijini kwao,labda alikuwa anatakiwa kuchunga ng'ombe kwanza.

Kuna msaidizi mmoja wa Nyerere alienda Bwiru kuanza kidato cha kwanza akiwa nyumbani kwao kaacha mke.
Zamani ilikuwa kawaida.
Huyu msheshimiwa kusema ukweli ni mtu wa bahati sana. Hakuzaliwa familia ya kishua. Ujombani kwao na mke wake wameplay part kubwa sana kwenye mafanikio yake. Pia alipomaliza form six alifundisha kwa kujitolea shule ya sekondari Kashozi huku akiuza mihogo kwa wanafunzi na ndo alipo bahatika kumuoa mke wake ambae alikuwa mwalimu shule ya msingi Kanazi.
 
Dk Bashiru Ally alizaliwa Januari mosi, 1968 katika Wilaya ya Bukoba vijijini Mkoa wa Kagera na kupata elimu ya msingi katika shule ya msingi ya Katerero wilayani humo kati ya mwaka 1980-86.
Alikwenda standard one akiwa na miaka 12!!!
 
Ni mtafiti na mwandishi wa makala mbalimbali zilizochapishwa kwenye matoleo ya machapisho mbalimbali na kiitikadi amejipambanua kama mjamaa na mfuasi wa sera za hayati Mwalimu Julius Nyerere hata kabla ya kuweka wazi kuwa yeye ni mwanaCCM.
"Waliniambia nimemteua kuwa Katibu Mkuu wa CCM wakati yeye ni CUF, na mimi nikasema, huyohuyo wa CUF ndiye namtaka" alisikika akisema
 
Walichua shahada ya uzamili au alisoma?
 
Tujazie time gaps. 1993 alienda JKT kuanzia June hadi December. Alikuwa wapi kuanzia January 1994 hadi alipojiunga UDSM 1997?
 
Kuanza shule katika umri wa miaka 12 lilikuwa jambo la kawaida kwa watu wa generation yetu hasa tuliokulia vijijini. Mimi nilianza darasa la kwanza nikiwa na umri wa miaka 11, na darasani kwetu aliyekuwa mdogo sana alikuwa na miaka 10 na mkubwa sana alikuwa na miaka 14.
Hilo sisi wengine hatushangai, tumeyaishi hayo maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…