Wasifu: Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally


Cv ya mwizi wa kura fullstop.
 
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.

Mfuatilie vizuri utakuta hata hajazaliwa huo mwaka, huo mwaka wa kuzaliwa ni wa kufoji. Nilisikia RIP Ngitiye eti ana miaka 51. Nilipopitia hiyo cv yake ndio nikajua ni umri wa kufoji. Maccm mengi huwa yanapenda sana kufoji.
 
CV yake ndogo mnoo ndiyo maana hata weledi kwake sifuri, exposure pia iko chini sana na hajawai shika nafasi nyeti tofauti na hiyo ya ukatibu mkuu CCM, hapa sasa utumishi wa umma umeingia shimoni rasmi maana yeye na JPM yaleyale...
Exposure ataipata humo humo.
 
Mfuatilie vizuri utakuta hata hajazaliwa huo mwaka, huo mwaka wa kuzaliwa ni wa kufoji. Nilisikia RIP Ngitiye eti ana miaka 51. Nilipopitia hiyo cv yake ndio nikajua ni umri wa kufoji. Maccm mengi huwa yanapenda sana kufoji.
Sasa wanafoji umri ili iweje???.
 
CV yake ndogo mnoo ndiyo maana hata weledi kwake sifuri, exposure pia iko chini sana na hajawai shika nafasi nyeti tofauti na hiyo ya ukatibu mkuu CCM, hapa sasa utumishi wa umma umeingia shimoni rasmi maana yeye na JPM yaleyale...
Aah kumbe,mkuu unaonaje ukituwekea CV zako hatari tukalinganisha na huyu uliye pania kumzodoa?
 
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Miaka ya kabla 1980 shule zilikuwa chache na ziko mbali toka maeneo ya vijijini; enzi hizo ilikuwa kawaida sana mwanafunzi kutembea umbali mrefu sana kwenda shule tena wakipita machakani, kula mara moja kwa siku tena jioni unaporudi shule. Mazingira hayo yalifanya watoto waende shule wakiwa wakubwa ili kuhimili shuruba za shule.
 
Kwa hiyo ameteuliwa pia kuwa Balozi wa nini? /Nchi gani? Mnazidi kupeana tu ulaji huku wahitimu lukuki wakiwa wanahangaika tu mtaani.

Hivi KMK Ni lazima awe Balozi?Sijui huyu Mapadlocks huwa anawaxaga nini! Yaani jitu moja veo lukuki...Haya mafisi ya Lumumba Ni shidaaa!!!!
 
Ina maana hana familia na umri wote huo miaka Zaidi ya 50?!
Kuhusu familia Dk Bashiru alioa kabla hata hajaanza kusoma chuo kikuu mwaka 1994. Yeye na mkewe Zulaika Hashim walijaliwa kupata watoto wawili wa kike, Halima na Hasanat.
 
Ina maana hadi sasa jamaa hana watoto mkuu??
Kuhusu familia Dk Bashiru alioa kabla hata hajaanza kusoma chuo kikuu mwaka 1994. Yeye na mkewe Zulaika Hashim walijaliwa kupata watoto wawili wa kike, Halima na Hasanat.
 
Historia feki kabisa..
Mbona umaskip kua alikua mwalimu wa shule ya msingi?
Mbona umeskip kua ukoo wake wametokea huko kwenye vita...AWRNDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…