Wasifu (CV) wa January Makamba


Ukiwa na evidence unaweka tu uani.Ila niliwahi kulisikia hili siku nyingi sana.Na yeye atuambie form four alitupwa nje au??
 
CCM kuna mambo....mbowe alishasemaga kule ni mashetani yamejaa.....na mheshimiwa Rais naye kathibitisha kwamba wataishi kama mashetani maana wanaishi kama malaika wakati wao ni mashetani....haiwezekani. Ni wengi mno wamejificha mle kisa ni chama Mama/Tawala. Ngoja wakutane na ngosha aliyekulia kijijini awaonyeshe shughuli
 
Makamba akae mguu sawa vijana wanakusanya ushahidi ili wamkabidhi Gwajima.. Tumejipangaaaa mwaka huuu wataisomaaaaa
 
Nchi, kila kitu kiliwezekana Eeeeh, Tanzania !! Ila mbele ya JPM ni lazima wafiate mikia.

Wote wenye utata washushwe tu waishi Kama mapepo!!
 

CV) ya January Makamba Anzia pale alipoiba mitihani wa kidato cha nne Galanous Tanga.​

 
'mungu' ama 'Mungu' miaka ya nyuma ulikuwa mburula
Sikushangai...

Qur'an 2:
10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…