Wasifu (CV) wa January Makamba

Kwani anaishi maisha ya nani? na hayo maisha yanakuhusuje wewe tu mpaka uache hoja inayojadiliwa?
 
Hv huyu faizafoxy anaga shughuli nyngne kwnye kila thread lazma ukute comments zake za utata.

Mamluki wa CCM huyo. CCM wameajiri watu kushinda JF na kuripoti kama wanasemwa vizuri au vibaya. Na yule naniliu nae anaekujaga hapa na mada zake ambazo hazinaga mwanzo , katikati wala mwisho.
 
Kwa sasa ninaona uwezo wa makamba kama wa zitto. Haimaanishi kuwa naungana na hao uvccm bali yawezekana kweli alifeli lakini dakika za mwisho alijitambua

Au inawezekana akawa anamgelezea Zitto kwa sababu ni mentor wake kwenye siasa za kidemokrasia?
 
Mzee wa ngano naona umemwaga ngano.
 
Last edited by a moderator:
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: January
Middle Name: Yusuf
Last Name:Makamba
Constituent: Bumbuli
Political Party: CCM
Office Location:
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status: Current Member
Date of Birth

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture

[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]






[TH="class: date, bgcolor: #FFF794"][/TH]
[TH="class: date, bgcolor: #FFF794"][/TH]

[TD="class: padding"][/TD]
[TD="class: padding"][/TD]
[TD="class: padding"][/TD]

[TD="class: padding"][/TD]
 
Huwa najiuliza kwel Mbunge hajuiiiiiiiii kuandika CV???serios???anashindwa hata na mwanafunzi wa First year?shame on them au kuna vitu wanaficha?MFANO HUYU,HATA MWAKA W KUZALIWA HAJUI AU??na shule je?tutajuaje ana elimu kiwango gani?kama vipi amwambie dada ake amtengenezee CV
 
Acheni wivu wa kipunga nyie mtamjua tu n nan,n suala la muda ww unaekesha huku kuchokonoa watu wenzako wanatusua.....
 

huyo ndio makamba.
 

Eti mkuu ni kweli ulifukuzwa galanosi?
 

Makubwa!!! wewe uliona hili la uwaziri akabadili akatangaza nia ya kugombea Urais, sijui anataka kujipiga photocopy baada ya kunogewa akiwa IKULU!! Urais sio nywere kusema kila mtu anazo.
 
👎👎👌👌 Kilaza apewe nchi...!!!!

Akili kubwa...!!?? Give him ur home to lead u...!!

Hv u written this while clubbing or drinking viroba..!?

With no doughts, ww mtupu sana upstairs...!!!

January ana akili KUBWA...!!??? ur in total hysteria...aren't you...!? Lmao...!!!
 
Yes, kwenye uongozi wa familia anatosha
 
...upumbavu,huyu analenga 2020 au 2025
 
Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM ana ubavu abishe.


Usitetee usichokijua. ili ujue nimesoma Galanos headmaster alikuwa Kinala, second mistress alikuwa Mama Msemwa. Matokea yalipotoka January Makamba matokeo yake yalifutwa. Headmaster Kinala alitutangazia parade kuwa alifanya cheating ndio maana matokeo yakafutwa na akaonya watu wenye tabia hizo.

Ninashangaa mtu anasema ni rumour ina maana mkuu wa shule alikuwa anazungumza kwa rumour?

Najua January nitamkamatia wapi.Akipata uwaziri tu ndio nazungumza na waandishi wa habari. Hatuwezi kuongozwa na wezi wa mitihani.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…