Angalau umepata pa kupumulia mtu wangu..Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
Ni kweli ndio maana sisiem hawakosi usingizi kwaajili yake...Mhhhhhhh ukishangaa ya Musa utaona ya firauni. Kumbe jamaa ni mtupu hivyo. Ndo maana hoja zake huwa hazina mashiko.
Salutation Honourable Member picture
First Name: Freeman Middle Name: Aikaeli Last Name: Mbowe Constituent: Hai Political Party: CHADEMA Office Location: P.O. Box 3070, Moshi Office Phone: Ext.: Office Fax: Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth
[TH="colspan: 3, align: left"][/TH]
[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School NCame/Location Secondary School
[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]
[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
Company Name Bank of Tanzania Bank Officer
[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From Date [/TH]
[TH="align: center"] To Date [/TH]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
Kamanda haitaji elimu kupambana na adui ni mauzoefu tu wakuu
JAMANI mbona kuaibishana namna hii..ila kusema kweli i never did question is education background rather his integrity...My dad(6 degrees to his shoulders, two masters and one PHD) was not into Politics but when he first saw this guy he told me I will vote for him he should be a president!!!!
kweli mnamgwaya sana huyu jamaa kwani ndani yaweek moja mmeirudia CV yake zaidi ya mara 3. naanza kuona jinsi anavyo watoa mapovu
Kaz ya siasa sio taaluma ni nidhamu,uwezo wa kuwakilsha wanyonge walio wengi,kusimamia rasilimali kwa manufaa ya wote na kujenga taifa ambalo hakuna raia atakayehisi yuko ugenini. Hapa elimu si kipaumbele kwani mwanasiasa si mtendaji. So mliodanganywa kuwa mkiweka cu ya aikael ndo mmearibu,ha ha!wananchi hawajali iwe ni kwel au si kwel,cha msingi majukum yake ya kisiasa anayamudu...
So hata DJ wa Disco aje kuwa Rais wetu? Badiliken vijana kuweni na mtazamo chanya sio kila kitu mkitetee
KWELI MNAHITAJI MAOMBI ILI BWANA AWAFUNGUE MACHO NA KUWAONESHA NJIA
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
JE unaijua elim ya rais wa afrika kusini mheshimiwa jackobo zuma? mbona nchi inaenda tu vizuri na wanatuzidi sisi ambao tuna dr.?Nilipoingia jamvini niliona zimetundikwa Cv za watu mbalimbali hususan viongozi. Nikawa interested na CV za viongozi maarufu na ndipo nilipopatwa na bumbuazi kuiona hii Cv nimeshangaa sana. Mageuzi ya kweli lazima yaanzie ndani ya Chama. Dunia ya sasa kiongozi mkuu wa chama lazima awe na elimu ya kutosha na aliyeelimika kwani viongozi wenzake duniani wana uelewa mpana kwa misingi ya elimu zao. Huu ni ukweli usiopingika Uchaguzi ujao tusifanye makosa kuwakataa wasomi.
Mkuu huoni haya kudanganya kiasi hiki..,hivi unadhani huyu jamaa aliishi tofauti na mazingira ya watu wa kawaida hata uwadanganye watu kuwa alipitia hizo shule na vyuo unavyovitaja kwa taarifa yako hayo majina hayakuwa hivyo miaka hiyo.,makongo ni jina la juzi tu na hapo kabla ilikuwa ikiitwa lugalo..,kijana Huoni Hayaaa...CV YA UKWELI HII HAPA
Education and Work
Grad
School: Makerere University '78
College: University of Miami '80
College: St. John's University of Tanzania
High
School: Makongo Secondary School
'75
Company: Wananchi wa Tanzania
(Jimbo la Hai)
Position: Kiongozi wa Kambi rasmi ya
upinzani bungeni katika bunge la Tanzania.
Time
Period: November 2010 to present