Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone

Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
 
mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi
nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…