BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
mtoto wakiume anabalee worldsex.com na wakike anavunja ungo facebook, hapo tunatengeneza bomo, social network zinapunguza real life experience kwani vijana wengi hukutana na wanawake wengi kwenye hizi social network na wanatongozana humuhumu...vijana wengi wa kiume kwa sasa hawana ujasiri wa kutongoza wanawake na wanaokutana internet mahusiano huwa hayadumu...kuna wanawake wngi mtaani kwako waangalie hao hawa wa internet sio...tumia muda wako kunya productive things ukiwa huku...kuna mambo mengi ya kufanya zaidi ya kufantasize net..:tape: